Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Mwanafunzi mmoja alikuwa analia baada ya kuporwa kalamu na mwenziwe ndipo mwl akawa anamsihi yule mtoto asilie. MWALIMU:usilie sana utakuja kuwa mbaya ukubwani .MWANAFUNZI:Bac inaonesha mwalimu ulikuwa unalia sana wakati ukiwa mdogo