Mwalimu na Mwanafunzi1

Washawasha

JF-Expert Member
Aug 7, 2006
16,652
13,077
Mwanafunzi mmoja alikuwa analia baada ya kuporwa kalamu na mwenziwe ndipo mwl akawa anamsihi yule mtoto asilie. MWALIMU:usilie sana utakuja kuwa mbaya ukubwani .MWANAFUNZI:Bac inaonesha mwalimu ulikuwa unalia sana wakati ukiwa mdogo
 
Back
Top Bottom