Mwalimu na Juma

CaptainDunga

JF-Expert Member
Jul 17, 2009
1,567
1,375
Muda wa kutoka shuleni umewadia mwalimu akawaambia wanafunzi wake
Mwalimu : Atakayejibu swali langu kwa usahihi ndio ataenda nyumbani leo
Juma kuona hivyo akatupa begi lake nje ya dirisha:
Mwalimu : Nani katupa begi nje ?
Juma : akajibu haraka, ni mimi mwalimu, halafu huyo akafungua mlango na kuondoka zake kwenda kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…