Nahitaji mwalimu mzuri wa computer language
Ambaye atanielekeza language zote deeply
Malipo tunazungumza baina ya mm na yeye
Nb:awe anaeleweka anaezielewa language sio kunikaririsha
Kama Uko vizuri pm
Binafsi sielewi umezungumzia kitu gani...! Java na c# hebu nifungue kdg labda na mimi nitakua miongoni mwa wanaohita kusoma hicho kitu maana sasa nipo free na napenda sana hizo mambo.
Binafsi sielewi umezungumzia kitu gani...! Java na c# hebu nifungue kdg labda na mimi nitakua miongoni mwa wanaohita kusoma hicho kitu maana sasa nipo free na napenda sana hizo mambo.
Nadhani tuanzie hapo kama inawezekana, maana ninachokifahamu kwenye comouter ni programs ninazozifanyia katu.! Nimekariri hizo za Microsoft offices tu. Zaid ya hapo kuangalia movie na kucheza game
Sisi huwa tunafundisha kama utapenda ila tuna ratiba zetu. Mwaka jana tulikuwa na training kama hiyo naambatanisha tangazo kukupa idea ya kinachofanyika. Kwa mwaka huu Training ya kwanza ni mwezi Mei.
(NOTE: Hiyo ilikuwa Maalum kwa Wanafunzi na gharama zake huwa tofauti na za kawaida)
Kama utapenda ratiba kamili ikitoka nikuarifu nitumie Namba yako na email inbox.
Training inaendeshwa Mubashara ukiwa na mwalimu, Ubao, n.k kama darasani. Pia session inakuwa recorded na inatunzwa kwa muda in case ulikosa darasa unaweza ku play back.
Kama unahisi itakufaa basi unakaribishwa Mwezi Mei na kama utataka kuwa notified tarehe ratiba ikiwa tayari basi nitumie details PM kama nilivyosema.
Kuhusu wakufunzi, ni wataalam ambao kuandika Code ndio kazi inayowaweka mjini tangu kitambo.
Pia tunafanya Corporate Training kwa Makampuni kwa Kozi anuai. Kwa aliye interested ni PM kwa ajili ya Course Catalog. Haya yote yanakuja na website ambayo kwa sasa iko katika matengenezo.
Mwezi huu tulikuwa na Course hii na Watu wa Corporate pale Flomi Hotel Morogoro (Angalia Attached PDF).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.