Dume la Nyani
Member
- Apr 14, 2011
- 37
- 8
Imekuwa ni jambo la kawaida kwa huyu mwalimu wa shule ya sekondari kufanya ngono na wanafunzi wake wa kike tena wengine ni watoto wadogo kabisa, asipojirekebisha tutamtaja jina lake na shule anayofundisha.
nawashangaa sana baadhi ya wanajamvi, kuna mtu aliwahi kuleta hoja yake, mkewe ni mwalimu, baada ya kupangwa jamaa aliyempangia shule ya karibu karibu akatembea nae, ushahidi ulikuwa meseji za mapenzi kati ya jamaa huyo aliye ekti kama afsa elimu sekondari bagamoyo, na hapo hapo bagamoyo, watu kimpya, nilijiuliza sana kabla sijaingia jamvini.
huna msaada usijikoshe kwa wanajf kwanini umficheee na usimtaje hadharani?imekuwa ni jambo la kawaida kwa huyu mwalimu wa shule ya sekondari..kufanya ngono na wanafunzi wake wa kike tena wengine ni watoto wadogo kabisaaa...acpojirekebisha 2tamtaja jina lake na shule anayofunsha
unashangaa nini?
mke ni mtu mzima
wanafunzi ni watoto
huoni tofauti?
Taja huyo ticha ukikaa kimya ujue unasuport ada za wazaz zitumbukie chooni.
imekuwa ni jambo la kawaida kwa huyu mwalimu wa shule ya sekondari..kufanya ngono na wanafunzi wake wa kike tena wengine ni watoto wadogo kabisaaa...acpojirekebisha 2tamtaja jina lake na shule anayofunsha
JAMII FORUMS
Where we dare to talk openly.
Mods watu wengine hawana hata sifa za kuwa humu ndani, ingefaa mkatupa kule.
huyo hafai, kama vipi mtaje!