Mwalimu, mwanafunzi wakutwa wameuawa ndani ya nyumba

Maeneo ya machimbo, mauaji yamekuwa ni sehemu ya maisha yao.

Maeneo ya machimbo, Mwanamke akichukua hela ya Mwanaume ni lazima aende akalale naye. Akizingua lazima auawe ama afanyiwe vitendo vya unyanyasi ikiwemo kubakwa n.k

Maeneo ya machimbo, ukichukua Mwanamke wa mtu lazima wakuue ama wakufanyie tukio la udhalilishaji ikiwemo kulawitiwa

Ukizulumu hela ya watu maeneo ya machimbo lazima wakuue tu

Wapumzike mahali salama 😭
 
Hao watakuwa ni vibaka wa kijijini waliovamia kuiba mzigo wa dukani na visenti vya ticha…!!
Walivyoona wamejulikana sura zao ikabidi wafanye mauaji kufuta ushahidi.
Walimu wa taifa hili wanapitia magumu sana, haswaa hawa wa vijijini.
Mungu azilaze roho zao mahali salama na ampe uponyaji huyo mtoto
 
Hao watakuwa ni vibaka wa kijijini waliovamia kuiba mzigo wa dukani na visenti vya ticha…!!
Walivyoona wamejulikana sura zao ikabidi wafanye mauaji kufuta ushahidi.
Walimu wa taifa hili wanapitia magumu sana, haswaa hawa wa vijijini.
Mungu azilaze roho zao mahali salama na ampe uponyaji huyo mtoto
Inaweza kuwa unavyosema pia inaweza kuwa pia sababu si hiyo. Ila polisi wajitahidi haki ipatikane waliohusika na mauaji haya wakamatwe na washtakiwe na wahukumiwe kunyongwa.
 
Inaweza kuwa unavyosema pia inaweza kuwa pia sababu si hiyo. Ila polisi wajitahidi haki ipatikane waliohusika na mauaji haya wakamatwe na washtakiwe na wahukumiwe kunyongwa.
Kwa bush hiyo ni kawaida wala polisi hawahitaji kujua chanzo ni nini? Halafu huyo mwalimu ni mrembo nimemuona, au itakuwa alikuwa na mahusiano na mume wa mtu….maana walimu nao kwa kupenda kuiba waume za watu wako vizuri
 
Hao watakuwa ni vibaka wa kijijini waliovamia kuiba mzigo wa dukani na visenti vya ticha…!!
Walivyoona wamejulikana sura zao ikabidi wafanye mauaji kufuta ushahidi.
Walimu wa taifa hili wanapitia magumu sana, haswaa hawa wa vijijini.
Mungu azilaze roho zao mahali salama na ampe uponyaji huyo mtoto
Mkuu unapafaham hapo kiwanja au chunya? Namaanisha lazima kuna chanzo kingine ila sio mzigo wa dukan ambao hata mil10 haufiki
 
Sina wasiwasi na Akili zangu.....labda Akili zako ambazo unaona Ni Sawa Kwa ulimwengu huu WA sasa Ni kawaida mtoto wako wa miaka16 kwenda kuishi na mtu baki
Hiyo ni habari nyingine mkuu na nafikiri unafanya kosa kubwa kulizungumzia hilo kwa kulaumu. Sidhani kama kuna chochote unakijua kuhusu mahusiano yao na historia yao kiasi cha kufikia kuingiliana kiasi hicho. Shukuru Mungu kama umejitosheleza kwa kila kitu.

Hoja ni mauaji hayo ya kikatili, au mkuu una lolote la kuhusianisha kati ya hayo mauaji na ruhusa ya kuishi kwao pamoja kati ya huyo mtoto na mwalimu?!!!
 
Ila wewe jamaa koment zako huwa zinafurahisha japo ni jambo la huzuni.Umetoka kukoment mahali mtoto wa miezi minne ni clasmate wako.Yani wewe kilw anaekufa ni mlisoma nae.
Anaweza kuwa sahihi kwa upande fulani; nafikiri yuko kiroho zaidi na anamaanisha dunia ni darasa as kuna meeengi ya kujifunza kwa kila aliye hai. Kwahiyo basi, wote waliopo juu ya huu uso wa dunia ni classmates!!!! Mwamba yuko vema kwa hili.....
 
Back
Top Bottom