N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,533
Huyu jamaa nakumbuka nikiwa Form Two alikuwa anaimanya Kemia sio poa anaandika notisi na kuweka Calculations za Equations bila kuangalizia popote na anashuka nondo za hatari. Sema nini, hili taifa lina walimu wazuri sana ambao naamini walifaa sana kufanya kazi kwenye ngazi ya juu zaidi ya kufundisha maana ni majiniazi.