much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 7,731
- 10,693
Bora angebaka pekeake kesho angembembeleza dogo na vizawadi asitoe Siri ila katatua Hadi rinda jamaa ni kichaa aisee.Hatari sana huyu mwalimu,siku hizi kuwa mwalimu mkuu/ mkuu wa shule hakuzingatii maadili ya mhusika bali ni kitita alichotoa mhusika kwa maafisa wa juu,sidhani kama huyu mwalimu alipitiwa na shetani kama ambavyo wengi hudai bali ni inaonekana anatabia hiyo tangu mwanzo na hapo ndo arobaini zake zimefika.
Akili za kijinga na kihuni,unabaka ,haitoshi unalawiti na hujaridhika unaamua kujaribu kutoa uhai wa mtoto wa mwenzio ,akili gani hizi.?