TANZIA Mwalimu maarufu wa Geography, Mtegetwa Mng'ala Afariki Dunia

R.I.P fundi wa Geography Tz.
 
Kasomesha Alharamain? Halafu kuna wapumbavu wachache humu wanasema waislam wanabagua. Kuna walimu wanaingia na misalaba yao ktk shule za kiislam.

Ukianza upuuzi wako wa kutaka kubatiza watoto wetu hapo ndio utapoona moto wa waislam
Hizi dini tulizaliwa tukazikuta usitake kujifanya kuwa ww ndio muasisi wa hizi dini kuliko waliozileta...kuwa na kiasi laa sivyo zitakupeleka pabaya. Udini ni kitu kibaya sana na cha kipumbavu.
 
ᴅᴀᴀ ᴜᴍᴇɴꞮᴋᴜᴍʙᴜsʜᴀ ᴄʜꞮᴍʙᴏ ʟᴀ ᴘʜʏsꞮᴄᴀʟ ɢᴇᴏɢƦᴀᴘʜʏ........! Ʀ.Ɪ.ᴘ ᴛᴇᴀᴄʜᴇƦ ....ᴍᴛᴀᴀᴀʟᴀᴍ.....ᴋꞮᴄʜᴡᴀ
 
Mafundi wanatuacha na ujinga wetu bila kutumia hata nusu ya vipaji vyao
RIP Mody physics
RIP mtegetwa.
 
Alikuwa anatoa tuvitabu twake flani vidogo vidogo .
Ukikasoma na kukaelewa hauna haja na tuition.
Climatology ,Soil, nilikuwa siachi swali kwa sababu ya vitini vyake.Apumzike kwa amani mwamba
 
Kasomesha Alharamain? Halafu kuna wapumbavu wachache humu wanasema waislam wanabagua. Kuna walimu wanaingia na misalaba yao ktk shule za kiislam.

Ukianza upuuzi wako wa kutaka kubatiza watoto wetu hapo ndio utapoona moto wa waislam
Nani ana muda wa kuwabatiza? Hakuna Mwalimu mwenye muda wa kuwabatiza wala kuwajaza majini
 
Admins Jf,hebu hii habari wekeni na page yenu ya Insta,X huyu mwl amefundisha watu kibao wako sehemu mbali mbali wapate taarifa jabali la geography Tz limedondoka.
 
Kasomesha Alharamain? Halafu kuna wapumbavu wachache humu wanasema waislam wanabagua. Kuna walimu wanaingia na misalaba yao ktk shule za kiislam.

Ukianza upuuzi wako wa kutaka kubatiza watoto wetu hapo ndio utapoona moto wa waislam
huyo ni muislam mjinga wewe.
 
Kasomesha Alharamain? Halafu kuna wapumbavu wachache humu wanasema waislam wanabagua. Kuna walimu wanaingia na misalaba yao ktk shule za kiislam.

Ukianza upuuzi wako wa kutaka kubatiza watoto wetu hapo ndio utapoona moto wa waislam
Umeona Sasa? Nilishasemaga Muisalmu anayejielewa ni yule tuu ambaye hajang'ng'ania uislamu..

Mtegetwa alikua Muislamu tena pure na Atazikwa kiisalmu.
Si umeyaanza??? Kula chuma hioo 👇
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…