Mwalimu Jk School bado ni yakina Jenerali?

lageneral

Member
Mar 24, 2007
60
1
Wakuu kuna mtu ana taharifa nani ni mmiliki wa Jk school ambayo ilikuwa ikimilikiwa na habari corp ya akina Jenerali?Au nayo ilinunuliwa na Rostam?
 
nimesoma habari za shule hiyo kwenye raia mwema so inaonekana bado iko chini ya jenerali.
 
Ile shule ilikuwa chini ya Habari Corporation, hivyo nayo imeuzwa kwa fisadi RA
 
nimesoma habari za shule hiyo kwenye raia mwema so inaonekana bado iko chini ya jenerali.

Nini mbaya hapa? Please be clear as much as possible. Kwani Jenerali iko na shida gani kumiliki shule? I don't see the issue coming out clearly here.
 
Back
Top Bottom