Kuna ukumbi Dar unaitwa Sae-Mbeya?
Wana jf wote napenda kuwakaribisha kesho kwenye sherehe ya kuzaliwa kwangu, nitakuwa natimiza miaka 32. Sherehe itakuwa Sae karibu na tanesco mbeya. Karibuni sana wana jf
Kuna ukumbi Dar unaitwa Sae-Mbeya?
Sae ni jina la mtaa,tuambie ni ukumbi gani hapo sae!na kama utafanyia nyumbani tutafikaje?
nafanyia nyumban. Nyumba inatazamana na kota za tanesco, ina bat jekundu
nitumie naul kwan nimefulia,ili hata kama ni uongo nsipate hasala. Kutakuwa na bia?
mkumbuke kwenda na vinywaji na vyakula vyenu. Wengine tupo mwisho wa dunia ila tunashukuru kwa taarifa.