Mwal JK Nyerere,Ni alama ya Taifa na Uzalendo uliotukuka Barani Africa

Alex Fredrick

JF-Expert Member
Jun 21, 2016
680
1,338
Tuna kila sababu ya kumuenzi Mzee wetu Hayati Mwl JK Nyerere kwa mambo mengi kwa jinsi alivyotusadia kupata Uhuru sio Tanzania tu bali na Nchi zingine nyingi tu Africa

Mwl JK Nyerere ndio Kiongozi pekee mpka Ana staafu Urais hajajilimbikizia mali yoyote yeye au familia yake pamoja nafasi aliokuwa nayo kwa zaidi ya 23 madarakani

Mwl JK Nyerere ndio Kiongozi pekee Barani Africa baada ya kustaafu tu alienda kijijini kulima huku akiishi kwenye yake ya kawaida ambayo ni ya mkopo kupitia (THB)badae JKT kupitia Generali Rashid Makame ndio walienda kumuomba wamjengee nyumba yenye hadhi kiasi


Ilifikia mahala Mwl JK Nyerere alisema yupo tayari sie kuchelewa kupata Uhuru ili kuwsubiri na wenzetu


Tanzania ndio ilikuwa Kitovu cha mapambano kwa nchi zote zilizokuwa zinapigania kupata Uhuru


Angola,Msumbuji,Africa Kusini,Namibia Zimbabwe ni baadhi ya tu ya vielelezo ambao walipewa nafasi ya kuishi hapa pamoja na mafunzo yote


Kwahiyo sishangai kuona sehemu nyingi zikipewa heshima ya jina lake kwa maana ni Kiongozi wa kuigwa na mzalendo wa kweli kwenye medani zote

Alex Fredrick
Dar es salaam
+255 758 308494
 
Uzalendo upi alituacha watu wasikini na alijenga nidhamu ya Uoga kupindukia nchini. SERA ZAKE ZA KIJAMAA BADO ZINATAFUNA TAIFA
 
Tuna kila sababu ya kumuenzi Mzee wetu Hayati Mwl JK Nyerere kwa mambo mengi kwa jinsi alivyotusadia kupata Uhuru sio Tanzania tu bali na Nchi zingine nyingi tu Africa

Mwl JK Nyerere ndio Kiongozi pekee mpka Ana staafu Urais hajajilimbikizia mali yoyote yeye au familia yake pamoja nafasi aliokuwa nayo kwa zaidi ya 23 madarakani

Mwl JK Nyerere ndio Kiongozi pekee Barani Africa baada ya kustaafu tu alienda kijijini kulima huku akiishi kwenye yake ya kawaida ambayo ni ya mkopo kupitia (THB)badae JKT kupitia Generali Rashid Makame ndio walienda kumuomba wamjengee nyumba yenye hadhi kiasi


Ilifikia mahala Mwl JK Nyerere alisema yupo tayari sie kuchelewa kupata Uhuru ili kuwsubiri na wenzetu


Tanzania ndio ilikuwa Kitovu cha mapambano kwa nchi zote zilizokuwa zinapigania kupata Uhuru


Angola,Msumbuji,Africa Kusini,Namibia Zimbabwe ni baadhi ya tu ya vielelezo ambao walipewa nafasi ya kuishi hapa pamoja na mafunzo yote


Kwahiyo sishangai kuona sehemu nyingi zikipewa heshima ya jina lake kwa maana ni Kiongozi wa kuigwa na mzalendo wa kweli kwenye medani zote

Alex Fredrick
Dar es salaam
+255 758 308494

Nimeipenda makala yako hujamuhusisha Baba wa Taifa na Utawala wa Awamu hii Takatifu ya Tano!

Nashukuru kwa hilo!

Ningekuta mahali umetaja JPM in the same sentence aisee I would kill myself and bury myself!

Thanks though!
 
Mzee wa saigoni Mudi na Faiza wakiona hivi mioyo yao inawaka moto.Mwl Nyerere ndo' Icon.
Tuna kila sababu ya kumuenzi Mzee wetu Hayati Mwl JK Nyerere kwa mambo mengi kwa jinsi alivyotusadia kupata Uhuru sio Tanzania tu bali na Nchi zingine nyingi tu Africa

Mwl JK Nyerere ndio Kiongozi pekee mpka Ana staafu Urais hajajilimbikizia mali yoyote yeye au familia yake pamoja nafasi aliokuwa nayo kwa zaidi ya 23 madarakani

Mwl JK Nyerere ndio Kiongozi pekee Barani Africa baada ya kustaafu tu alienda kijijini kulima huku akiishi kwenye yake ya kawaida ambayo ni ya mkopo kupitia (THB)badae JKT kupitia Generali Rashid Makame ndio walienda kumuomba wamjengee nyumba yenye hadhi kiasi


Ilifikia mahala Mwl JK Nyerere alisema yupo tayari sie kuchelewa kupata Uhuru ili kuwsubiri na wenzetu


Tanzania ndio ilikuwa Kitovu cha mapambano kwa nchi zote zilizokuwa zinapigania kupata Uhuru


Angola,Msumbuji,Africa Kusini,Namibia Zimbabwe ni baadhi ya tu ya vielelezo ambao walipewa nafasi ya kuishi hapa pamoja na mafunzo yote


Kwahiyo sishangai kuona sehemu nyingi zikipewa heshima ya jina lake kwa maana ni Kiongozi wa kuigwa na mzalendo wa kweli kwenye medani zote

Alex Fredrick
Dar es salaam
+255 758 308494
 
Mungu mbariki mtakatifu mwl Julius nyerere
Naona baada ya Nyerere magufuli anafuata kwa mbali
 
Pamoja na kwamba Katiba ilikuwa inampa madaraka makubwa Mwalimu lakini hakuwa hivyo,Hoja yangu ni kwamba Katiba sio muorobaini wa matatizo bali ni utashi wa Kiongozi aliye madarakani na moyo wake wa kudhubutu
Hii katiba ya sasa ni zao la yeye kupenda kujilimbikizia madaraka
 
Back
Top Bottom