Mwakyembe yamkuta kura za Maoni

Mwakyembe yamkuta kura za Maoni

Emmadogo

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
4,126
Reaction score
3,779
Yule Jembe wa ile kamati iliyomvua ukuu Mmasai yamemkuta kwenye kujieleza kura za maoni za ubunge huko jimboni baada ya kuzomewa vibaya na watu waliohudhuria tukio hilo mpaka ikabidi asepe kwa aibu. Huku watu wakimuimba Fisadi!!Fisadi!!
 
acha ushabiki usio na maana mwakyembe jembe
 
Sasa ilibidi asimalize kujinadi na kuondoka mbio maana kila alitaka kuongea wanaimba toka toka hatukutaki fusadi
 
Yule Jembe wa ile kamati iliyomvua ukuu Mmasai yamemkuta kwenye kujieleza kura za maoni za ubunge huko jimboni baada ya kuzomewa vibaya na watu waliohudhuria tukio hilo mpaka ikabidi asepe kwa aibu. Huku watu wakimuimba Fisadi!!Fisadi!!

Wenzako wanaleta matokeo ya kura za maoni, wewe unakazama kutuletea kelele za kuzomea.
 
Wenzako wanaleta matokeo ya kura za maoni, wewe unakazama kutuletea kelele za kuzomea.

mkuu watu kama hao ndio tunawaita mangumbaro,, anashabikia tu ukimuuliza unashabikia nn anasema hata mm sijui nmeona watu wanashabikia ikabidi na mm niungane nao
 
Walio mzomea wote vijana wa chadema bodaboda atapita tu yule japo hajawafanyia maendeleo
 
Kuzomewa ni kawaida sana maana haiwezekani upendwe na watu wote.
Kesho ndo tutajua mbivu na mbichi.
Kyela needs new blood kuimalisha uchumi wake kwenye cocoa mawese mpunga na uvuvi

Funguka angalao kidogo mwakyembe wanamkubali hawamkubali?
 
Yule Jembe wa ile kamati iliyomvua ukuu Mmasai yamemkuta kwenye kujieleza kura za maoni za ubunge huko jimboni baada ya kuzomewa vibaya na watu waliohudhuria tukio hilo mpaka ikabidi asepe kwa aibu. Huku watu wakimuimba Fisadi!!Fisadi!!

Mimi huyu mwakyembe nitarudisha imani kwake siku tu
atapoyasema yale ambayao hakuyasema
(kwenye kamati teule ya bunge)
kwaajili ya kulinda hadhi na hsehima ya serikali.
vinginevyo na azomewe tu...maana hakuna namna nyingine.
 
Last edited by a moderator:
Hata ningeshangaa kuona huyu mwandishi wa habari kama angekuwa na upepo mzuri. Hata hivyo Hilo jimbo kwa sasa kwa vyovyote vile ni Mali ya UKAWA
 
Hata hivyo ningeshangaa kuona huyu mwandishi wa habari kama angekuwa na upepo mzuri. Hata hivyo Hilo jimbo kwa sasa kwa vyovyote vile ni Mali ya UKAWA
 
Back
Top Bottom