Mwakyembe yamkuta kura za Maoni

Mwakyembe yamkuta kura za Maoni

Mimi huyu mwakyembe nitarudisha imani kwake siku tu
atapoyasema yale ambayao hakuyasema
(kwenye kamati teule ya bunge)
kwaajili ya kulinda hadhi na hsehima ya serikali.
vinginevyo na azomewe tu...maana hakuna namna nyingine.

Exactly
 
Last edited by a moderator:
Hata chaguliwa mbunge kwa mazoea tena kwani vijana woote wako equipped na dhana zao very special kuakikisha ifikapo saa 4 tarehe 25/10/2015 CCM wanashusha bendera na kufunga ofisi
 
Funguka angalao kidogo mwakyembe wanamkubali hawamkubali?[/QU nilikuwa kyela jana na nikahudhuria mkutano wa kata ya mwanganyanga, kiukweli muheshimiwa ilibidi asiongee hiyo zomea zomea na kwa vile kata ziko karibu karibu hali ilikuwa hivyo kwa kata zote za mijini. Sijui bush kukoje ila mjini centre hana chake. Mjini ni kipija tu au wa chadema mwanyamaki. Akiwekwa mwakyembe jimbo limeenda ukawa
 
Jamani hawa wanaosambaza sijui mwakyembe kazomewa n mashetani yaametumwa msipate shida jamani kura za maoni ccm n kesho kwahyo msisumbuke na hao jueni wanamuogopa ndio maana wanakesha kumchafua but huyo ndie waziri mkuu
 
Yule Jembe wa ile kamati iliyomvua ukuu Mmasai yamemkuta kwenye kujieleza kura za maoni za ubunge huko jimboni baada ya kuzomewa vibaya na watu waliohudhuria tukio hilo mpaka ikabidi asepe kwa aibu. Huku watu wakimuimba Fisadi!!Fisadi!!
Wananchi wa sasa wameerevuka sana!!,wamekuwa na uelewa kuzidi hata wanao waongoza.
 
Jamani hawa wanaosambaza sijui mwakyembe kazomewa n mashetani yaametumwa msipate shida jamani kura za maoni ccm n kesho kwahyo msisumbuke na hao jueni wanamuogopa ndio maana wanakesha kumchafua but huyo ndie waziri mkuu

Eeeeeenh!!,hadi u Waziri Mkuu,umejuaje??,angalia usije ukawa Unampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
 
Hawa jamaa zangu wanafurahisha sana. Ndugai alijisahau akafikiri amekalia kiti cha spika, sasa hukumu inamsubiri.
Kama kweli akihukumiwa ntashangaa, kufikishwa mahakamani sio issue, issue ni haki mahakamani.
 
Mwakyembe anatakiwa kujibu tuhuma, za sababu zilizomfanya ashindwe kumuhoji lowassa, je ni simu kutoka ngazi za juu?hii dhambi itamtafuna daima
 
Pole zake.. niliona hiyo video jana.. anastahili manake nae alikua kinara katika kukanyagakanyaga rasimu ya warioba
 
Back
Top Bottom