Wewe ni muongo na utahukumiwa hapa hapa duniani,mimi nipo hapa kyela kwetu wiki nzima,hatufikirii kumpa ubunge mtu ambaye tunamuamini na jembe kama mwakyembe,ili amchanechane vipande lowasa kwa kusema ukweli kubusu ufisadi,huyo tundu lisu na profesa safari wanaujua moto wa mwakyembe,mna wakati mgumu bado
Walio mzomea wote vijana wa chadema bodaboda atapita tu yule japo hajawafanyia maendeleo
ka video basi!!!!
unaandika uongo hapa kwa faida ya nani ?Ndugu yangu tulioko huku kyela tunajua Mwakyembe anavyopendwa na hakuna badala wake,hao wagombea wenzake 9 walikodi vijana wa.chadema ambao waliwanywesha viroba ndio wakaleta fujo
watetezi wa mwakyembe mna kiwango duni sana !
fafanua kiwango duni kivp?
Kifedha,kimawazo, nguvu au kivp?
kimawazo na kwa hoja , hata hivyo udhaifu huu husababishwa na njaa , kwahiyo bila shaka kifedha pia mko hoi .
Magufuli rais, mwakyembe wazir mku= lowasa ICU
Mwakyembe anatakiwa kujibu tuhuma, za sababu zilizomfanya ashindwe kumuhoji lowassa, je ni simu kutoka ngazi za juu?hii dhambi itamtafuna daima
Tukutane oktoba kura yangu kwa lowassa.Magufuli rais, mwakyembe wazir mku= lowasa ICU