Magufuli rais, mwakyembe wazir mku= lowasa ICU
Mimi huyu mwakyembe nitarudisha imani kwake siku tu
atapoyasema yale ambayao hakuyasema
(kwenye kamati teule ya bunge)
kwaajili ya kulinda hadhi na hsehima ya serikali.
vinginevyo na azomewe tu...maana hakuna namna nyingine.
Pole zake.. niliona hiyo video jana.. anastahili manake nae alikua kinara katika kukanyagakanyaga rasimu ya warioba
watetezi wa mwakyembe mna kiwango duni sana !acha ushabiki usio na maana mwakyembe jembe
Mwakyembe hawezi kumshinda kamanda Mwanyamaki , hata awalipe hela wakazi wote wa kyela .Wewe ni muongo na utahukumiwa hapa hapa duniani,mimi nipo hapa kyela kwetu wiki nzima,hatufikirii kumpa ubunge mtu ambaye tunamuamini na jembe kama mwakyembe,ili amchanechane vipande lowasa kwa kusema ukweli kubusu ufisadi,huyo tundu lisu na profesa safari wanaujua moto wa mwakyembe,mna wakati mgumu bado
kile kiwanda cha kusindika kokoa na ile mashine ya kisasa ya kukoboa mpunga pamoja na soko la mchele la marekani alivyowaahidi wanakyela mwaka 2010 viko wapi ?Yule Jembe wa ile kamati iliyomvua ukuu Mmasai yamemkuta kwenye kujieleza kura za maoni za ubunge huko jimboni baada ya kuzomewa vibaya na watu waliohudhuria tukio hilo mpaka ikabidi asepe kwa aibu. Huku watu wakimuimba Fisadi!!Fisadi!!
Funguka angalao kidogo mwakyembe wanamkubali hawamkubali?
Sasa kama hamfikirii kumpa ubunge atamchanachana vipi Lowasa? Naona mmechanganyikiwa hadi mnaandika vitu msivyovijuaWewe ni muongo na utahukumiwa hapa hapa duniani,mimi nipo hapa kyela kwetu wiki nzima,hatufikirii kumpa ubunge mtu ambaye tunamuamini na jembe kama mwakyembe,ili amchanechane vipande lowasa kwa kusema ukweli kubusu ufisadi,huyo tundu lisu na profesa safari wanaujua moto wa mwakyembe,mna wakati mgumu bado
Nimeshindwa namna ya kuweka video ya tukio mngeona but ninayo hapa
Acha utoto wewe, nenda kwenye jukwaa lenu la wanyakyusa FB, kafanyie ujinga wako kule!