Mwakyembe uwe na aibu!

Wanakyela tunamshukuru sana Mungu kwa kutuepusha na Mbunge wa Treni , sasa tutapata mbunge halisi tunayemhitaji .
 

Umeandika kwa hisia hiyo.Aya yako ya kwanza imenigusa
 
Invisible mmemtoa Mwakyembe sasa watanzanua wanakamatwa huko Ughaibuni kumbe lengo lenu JNIA KIA na viwanja ningine vibaki wazi????
Mwakyembe alibana mpaka Bandari yetu ya Dar sasa ni No 1 hongera Mwakyembe wewe ni mfano wa Raus mweny uchungu na Nchi hii kuliko mafisadi

https://www.jamiiforums.com/interna...s-mombasa-in-handling-rwanda-bound-cargo.html
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…