Mwakyembe, Sitta waombe radhi watanzania

Naamini kuna siku mambo yote yatakuwa katika mstari mmoja na watu watafurahi, wana JF tuendelee kuweka kumbukumbu ya mambo haya kwa maandishi ili siku ipatapowadia tuandike Historia na wale wote waliohusika waadhibiwe
 
hadi kamati inaundwa tayari mitambo ya dowans ilishatumika how come serikali unataka inunue mitambo used? hakuna hiyo kitu best!
 
Wewe wala si mpambanaj chochote wewe ni pambaf tu!

Nyie ndo MAKUWADI WA Rostam Aziz na Edward Lowassa na Kiwete.
You can not fool all the people all the time. Your days are numbered.

Hii nchi inaonekana ni ya mazezeta wa kutupa. Haiwezekani Umeme wa DOWANS/RICHMOND ndiyo iwe SOLUTION PEKE YAKE KWA UMEME WA TANZANIA. Nasema Haiwesekani Asilan.

  1. Kwanini tunaendeleza kung'ang'ania KUWASHA MITAMBO YA DOWANS????This is NONSENSE.
  2. MITAMBO YA DOWANS/RICHMOND ILIZIMWA TANGU 2008,INA MAANA BAADA YA KUZIMA MITAMBO HIYO SERIKALI ILIKUWA IMEBWETEKA TU BADALA YA KUTAFUATA UFUMBUZI WA KUDUMU WA TATIZO LA UMEME?
  3. WALISAHAU KUWA MTERA ITAKAUKA TENA UKITOKEA UKAME KAMA MWAKA HUU?
  4. KWANINI SWALA LA UMEME NCHI HII LINAKUWA NI LA DHARURA KILA MWAKA,KUNATATIZO GANI??
Nimeshangazwa sana na KAULI YA M/Kiti BOMU wa kamati ya Nishati na Madini Mhe. Januari Makamba pamoja na Waziri kivuli wa Nishati na Madini toka KUB Mhe.Mnyika. Kwamba mitambo ya DOWANS iwashwa kwa kuikodisha hata kama ni miezi MITATU. Hii ni kuwasaliti Watanzania kuendelea kung'ang'ania KUTUMIA MITAMBO YA KITAPELI YA DOWANS. Je, HAKUNA SOLUTION MBADALA YA TATIZO LA MGAWO WA UMEME TANZANIA?????????????

Inasikitisha kuwa Tanzania HATUNA WAZIRI MAKINI WA NISHATI NA MADINI.Mhe.NGELEJA NI BOMU TENA LA KUTUPA NA MKONO. AMEBAKI KUPIGA DOMO TU BUNGENI HANA SOLUTION. TATIZO LA NCHI HII TUNAWAPA WANASIASA MADARAKA MAKUBWA KULIKO UWEZO WAO NA SIYO FANI(PROFESSION)ZAO. KILA SIKU ANASEMA KUNA MIPANGO YA MUDA MREFU/MFUPI NA RONGO RONGO KIBAO LAKINI HAKUNA OUTPUT YOYOTE. Uko wapi UMEME wa upepo tunaoambiwa upembuzi yakinifu ulishakamilika?NI SIASA TU.

Naomba KIWETE AMWONDOE NGELEJA KWENYE NAFASI HIYO NA WIZARA HIYO APEWE MBUNGE AMBAYE KITAALUMA NI MTU WA UMEME PERCE YAANI AWE AN ELECTRICAL ENGINEER BY PROFESSION TENA KWA KIWANGO CHA DOCTORATE(PhD.)AU MASTERS.

Hapo kwenye red si kweli mnyika hajashauri mitambo ya mafisadi inunuliwe ila hilo zao la mafisadi (J.makamba) ndiye aliyeshauri mnyika ameseme hatuwezi kukaa gizani na mitambo ya wahujumu uchumi iko pale itaifishwe na iwashwe. mnachokosea WJF ni kuwa majaa yamejipanga kujisafisha na yameweka watu wao kila kona ili mitambo ianze kuzalisha umeme kwa mkataba wewe tusubiri muone wanachopanga na kutekeleza
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom