Mwakyembe, Sitta 'walisafisha' nini Bandarini?

Mwakyembe, Sitta 'walisafisha' nini Bandarini?

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,320
Reaction score
117,611
Tulikuwa tunampa hongera na sifa nyingi humu Mwakyembe tukisema 'aliisafisha bandari' na ni 'mchapakazi' na wengine wakiomba ateuliwe kuwa Waziri mkuu ili alete Hiyo kasi na uchapakazi lakini tunakumbuka Sitta alipom replace na yeye Sitta akala 'ujiko' wa kuisafisha bandari na kuondoa madudu.

Kumbe in reality hakuna walichokifanya au walichokifanya hakikuwa na manufaa sasa tena sasa tunashingilia Magufuli na Majaliwa 'kuisafisha 'bandari na kuondoa madudu.

Maswali ya kujiuliza Sitta na Mwakyembe 'tuliwasifia' kwa nini hasa? Na kinachofanyika sasa tuna uhakika ndo soluhisho la kudumu? Kama sifa tulizowapa Mwakyembe na Sitta huko nyuma zilikuwa za makosa na hizi sifa tunazo mwaga sasa je? Hivi haiwezekani nchi hii mambo yakaenda bila kiongozi 'kutikisa' na 'kutingisha' na 'kusafisha' na 'akamwagiwa' sifa tele?

Nchi zote zenye efficiency viongozi wao huwa 'wanatikisa' na 'kutingisha' na 'kusafisha' Kama hapa kwetu?
 
Hao walikuwa mawaziri wa uchukuzi sio wizara ya fedha.
Bandari kwenye sakata hili inaonyesha walifanya kazi yao. Sehemu iliyobaki ilikuwa TRA. Waziri mmoja hawezi kuingilia wizara nyingine ndiyo mgawanyo wa kazi.

Ndiyo ile orodha Majaliwa kaipata bandarini. Inaelekea watu wamefanya reconciliation, wakaona madudu sehemu ya TRA.
 
haaa haaa haaa ndugu uliona zile picha sita akiwa na tajiri wa HSC , mwakyembe naye na wote wamepiga wakiwa dubai hv unafikiri ni kwanini walikutana na huyu jamaa? haikuwa bahati mbaya ila ni kwa makusudi. wizara usafirishaji + bandari na TRA + HSC=...........
 
Mbona unataka kufanya mambo yawe magumu bila ya sababu? Kwani ni nani amekwambia nchi yetu ina hiyo uliyoiita ,,effieciency ya Uongozi"? Ingekuwepo tungekuwa third world?

Acha kupoteza muda wako kwa kuanza kuchimba na kupekenyua mambo ili mradi tu upate cha kumkosoa Raisi Magufuli kwa ayafanyayo!
Kuna jambo unapaswa ulitambue kama bado haujalitambua kila kitu hapa Duniani ni relative hivyo muache Raisi Magufuli atumikie Uraisi wake ndiyo kwanza ana wiki tatu hivyo siyo fair Duniani hata kwa Mungu kuanza kumuhukumu Kiongozi aliyeko madarakani kwa muda wa wiki tatu, hakuna mtu mwenye akili ambaye atakuelewa Dunia hii kwamba yote haya na shutuma zote hizi ni Raisi aliyeko madarakani kwa wiki tatu tu!

 
Mwakyembe alichafua kwa kupandikiza ukabla kuwaajiri ndugu zake watupu huku akishiriki kuiba sana, Mzee sita na yeye aliiba zaidi huku akihujumu Reli na kuwafanya Wamiliki wa maroli mladi wa kuchukua pesa kwa kisingizio kuwa akifufua Reli na treni za mizigo watazuiwa kupakia mizigo.kila mmoja alikuwa mwizi kwa syle yake lakini mwisho wa siku wote hawakuisaidia bandari chochote.
 
Ndugu jaribuni kutofautisha TPA iliyo wizara ya Uchukuzi na TRA iliyo wizara ya fedha ingawa zote zipo Bandarini
 
Mkuu The Boss Hii issue ya container 300+ Bandari wako safe inawezekana hata port charges zote zililipwa ndio maana yanaonekana kwenye system ya TPA.

Tatizo liko TRA Kwa kuwa hayako kwenye system yao na wala Ushuru haujalipwa. Sujui kama kuna mfanyakazo wa TPA kawajibishwa zaidi ya kuambiwa wa review walinzi wa Gate 5.
 
Last edited by a moderator:
Mbona unataka kufanya mambo yawe magumu bila ya sababu? Kwani ni nani amekwambia nchi yetu ina hiyo uliyoiita ,,effieciency ya Uongozi"? Ingekuwepo tungekuwa third world?

Acha kupoteza muda wako kwa kuanza kuchimba na kupekenyua mambo ili mradi tu upate cha kumkosoa Raisi Magufuli kwa ayafanyayo!
Kuna jambo unapaswa ulitambue kama bado haujalitambua kila kitu hapa Duniani ni relative hivyo muache Raisi Magufuli atumikie Uraisi wake ndiyo kwanza ana wiki tatu hivyo siyo fair Duniani hata kwa Mungu kuanza kumuhukumu Kiongozi aliyeko madarakani kwa muda wa wiki tatu, hakuna mtu mwenye akili ambaye atakuelewa Dunia hii kwamba yote haya na shutuma zote hizi ni Raisi aliyeko madarakani kwa wiki tatu tu!


Kila kitu ni relative? Umevurugwa
 
Hao walikuwa mawaziri wa uchukuzi sio wizara ya fedha.
Bandari kwenye sakata hili inaonyesha walifanya kazi yao. Sehemu iliyobaki ilikuwa TRA. Waziri mmoja hawezi kuingilia wizara nyingine ndiyo mgawanyo wa kazi.

Ndiyo ile orodha Majaliwa kaipata bandarini. Inaelekea watu wamefanya reconciliation, wakaona madudu sehemu ya TRA.

Kwahiyo kama nimekuelewa vyema mkuu Sibonike ni kwamba mtoa mada mkuu The Boss alitakiwa aulize mh Saada Mkuya alifanya nini wizara ya fedha maana TRA iko chini ya wizara ya fedha au alitakiwa awaunganishe wote?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu The Boss Hii issue ya container 300+ Bandari wako safe inawezekana hata port charges zote zililipwa ndio maana yanaonekana kwenye system ya TPA.

Tatizo liko TRA Kwa kuwa hayako kwenye system yao na wala Ushuru haujalipwa. Sujui kama kuna mfanyakazo wa TPA kawajibishwa zaidi ya kuambiwa wa review walinzi wa Gate 5.

TRA wanahusika direct na ulinzi wa kontena?
au zilipotolewa kuna forged documents?
walinzi wa gate no 5 ni waajiriwa wa TRA?
 
Mkuu The Boss Hii issue ya container 300+ Bandari wako safe inawezekana hata port charges zote zililipwa ndio maana yanaonekana kwenye system ya TPA.

Tatizo liko TRA Kwa kuwa hayako kwenye system yao na wala Ushuru haujalipwa. Sujui kama kuna mfanyakazo wa TPA kawajibishwa zaidi ya kuambiwa wa review walinzi wa Gate 5.

Kwahiyo ina maana TPA hawawezi kupost hizo data kwenye system ya TRA? au kuna mfanyakazi wa TRA ambaye yupo bandarini ambaye alifanya figisufigisu?
 
Mwigulu na majitambo kedekede licha ya kuwapakazia watu ufisadi,alikuwa analea wizi Ws kutisha TRA bandarini
Safari hii uwaziri wa fedha yeye na wenzake WATAISOMA
NAMBA
 
Kwahiyo kama nimekuelewa vyema mkuu Sibonike ni kwamba mtoa mada mkuu The Boss alitakiwa aulize mh Saada Mkuya alifanya nini wizara ya fedha maana TRA iko chini ya wizara ya fedha au alitakiwa awaunganishe wote?

Si kwamba Bandari hakuna madudu. Lakini hili suala la makontena haliwahusu. Nu Saada Mkuya na TRA yake.
Mimi Nadhani Bandari inabidi iwe na mamlaka kamili. Yaani wakusanye tozo zao pamoja na kodi na kuipeleka hazina moja kwa moja. Kwanza itapunguza urasimu. Hiki bandari,kile TRA kwa mzigo huo. Iwe desk moja tu. Tozo na kodi hapo hapo.
 
Last edited by a moderator:
Si kwamba Bandari hakuna madudu. Lakini hili suala la makontena haliwahusu. Nu Saada Mkuya na TRA yake.
Mimi Nadhani Bandari inabidi iwe na mamlaka kamili. Yaani wakusanye tozo zao pamoja na kodi na kuipeleka hazina moja kwa moja. Kwanza itapunguza urasimu. Hiki bandari,kile TRA kwa mzigo huo. Iwe desk moja tu. Tozo na kodi hapo hapo.

One stop shop
kimeahidiwa we miaka inaenda....
 
One stop shop
kimeahidiwa we miaka inaenda....

Inabidi sasa watimize. Bandari itakuwa very efficient na nina hakika itapunguza hata wafanyakazi wasio na umuhimu pale. Pia monitoring itakuwa rahisi.
 
Kwa mtazamo mwingine ni kuwa TPA walifanya kazi yao, walifanya records za containers na wenye containers walilipa custom duties kama kawaida ndio maana records zipo wazi TPA...
Shida ipo huko TRA, ICT ya TPA na walinzi wa TPA Gate 5, kuna rushwa zilitembezwa hapo ili containers zipitishwe bila TRA kulipwa kodi stahiki, maana yake inawezekana wafanyakazi wa TRA walikuwa na records zilizotumwa na TPA, lakini wao kwa kupewa rushwa wakatoa release order bila kupokea malipo...
Mchezo ulichezwa na maafisa wa TRA, ICT ya TPA na walinzi...huwezi kuihusisha TPA moja kwa moja coz tayari management ilipokea containers, walitoza custom duties na kurelease docs TRA..ndivyo nilivyoelewa!
 
Kwa mtazamo mwingine ni kuwa TPA walifanya kazi yao, walifanya records za containers na wenye containers walilipa custom duties kama kawaida ndio maana records zipo wazi TPA...
Shida ipo huko TRA, ICT ya TPA na walinzi wa TPA Gate 5, kuna rushwa zilitembezwa hapo ili containers zipitishwe bila TRA kulipwa kodi stahiki, maana yake inawezekana wafanyakazi wa TRA walikuwa na records zilizotumwa na TPA, lakini wao kwa kupewa rushwa wakatoa release order bila kupokea malipo...
Mchezo ulichezwa na maafisa wa TRA, ICT ya TPA na walinzi...huwezi kuihusisha TPA moja kwa moja coz tayari management ilipokea containers, walitoza custom duties na kurelease docs TRA..ndivyo nilivyoelewa!

Sasa walinzi wa TPA ndio kamishna wa TRA afukuzwe?
unaona ni busara?
 
Back
Top Bottom