Business as usual3 problems I have noticed about Tz politics, 1.talking 2.talking 3.talking and then nothing happens, aliyeshiba ataendelea kushiba na mwenye njaa atabaki na njaa yake
Majipu ya TRL yalishatumbuliwa sana tu.Mwakyembe hakuwemo kwenye TendER board,Wala Hafanyi kazi kitengo cha procurement cha TRL,Wala si mjumbe wa BOARD YA TRL iliyointhiinisha hayo manunuzi.Wala hakuwa sehemu ya management.Wahusika direct walishatumbuliwa tena sana tu.
Watu wakiongelea Mwakyembe utafikiri yeye ndiye alienda sokoni india kununua hayo mabehewa.Lakini tunajua ni wale TEAM LOWASA baada ya kumkosa kumtoa ubunge Kyela AMBAKO Lowasa mwenyewe alienda kutaka kumtoa Mwakyembe aliyesoma ile Ripoti ya Richmond Bungeni ambayo ilkimtoa Lowasa mkuku kutoka uwaziri mkuu hadi kuchunga ng`ombe monduli.
Hawa wanaomwandama Mwakyembe ni ni Team LOWASA
Mwakyembe awajibishwe tu hapa hakuna habari za kulindana, tunawaomba wabunge wetu wakweli hasa hasa wa upinzani waifanye hiyo kazi maana wabunge wa ccm wao kazi yao ni kulinda maslahi na ustawi wa ccmJana na Leo Dr Mwakyembe ana kazi ya kujinasua ufisadi wa mabehewa feki 274. baada ya kushambuliwa na wabunge vijana Halima Mdee&Jesca Kishoa
Hoja ambazo Mwakyembe anapaswa kujibu ni;
1. Ripoti ya PPRA imethibitisha kwamba mabehewa yalonunuliwa y alikuwa na uwezo Chini ya kiwango
2. Malipo ya mabehewa yalifanyika kwa 100% kabla mabehewa kuwasili kinyume cha sheria ya Manunuzi
3. Kampuni iliyopewa zabuni, Hindustan Engineering Ltd ya India haikufanyiwa uchunguzi kuhusu Rekodi na uwezo wake (due deligency).
4. Katika orodha ya tuhuma Ambazo pccb wametangaza kuzipeleka mahakamani, ya mabehewa imo ingawa sio rahisi K ukamata vigogo aid I wataishia mafundi
5. Kwakuwa uchunguzi kuhusu sakata hili ulifanywa na vyombo vya dola kwa maana ya CAG, PPRA, AG& PCCB, kwanini Mwakyembe anatokwa povu kwa utetezi badala ya serikali Kuleta ripoti bungeni ili mbivu na Mbichi zijulikane?
6. Iweje Ufisadi huu mkubwa serikali ipige dili yenyewe, ijichunguze yenyewe na ijishughulikie yenyewe? kwann ugumu Kuleta ripoti bungeni tangu mwaka Jana?
7. Nani anajua kilichosababisha Mwakyembe aondolewe wizara ya uchukuzi na kupelekwa wizara ya Afrika mashariki katikati ya sakata hili?
TUNATAKA RIPOTI YA MABEHEWA BUNGENI
Kama ufisadi ulifanyika chini ya wizara yake naye akiwa waziri huo ndio ushahidi kabisa kuwa alihusika na kama hakuusika nikwanini hilo swala lilifanyika akalinyamazia kimya hadi lilipokuja kuibuliwa na wapita njia?Ila kwa swala la UFISADI Mwakyembe ni ni mtu safi sana sana na asie penda mambo ya rushwa au ufisadi kabisa, ILA naona hapa anatetea serikali yake kwani hana jinsi!
Mimi ni chadema kama kuna uhusika wa Lowasa bila chenga kwenye Richmond naanyongwe tu lakini hiyo haimfanyi Mwakyembe asiguswe hii thread inahusu ufisadi wa Mwakyembe juu ya mabehewa fake...Majipu ya TRL yalishatumbuliwa sana tu.Mwakyembe hakuwemo kwenye TendER board,Wala Hafanyi kazi kitengo cha procurement cha TRL,Wala si mjumbe wa BOARD YA TRL iliyointhiinisha hayo manunuzi.Wala hakuwa sehemu ya management.Wahusika direct walishatumbuliwa tena sana tu.
Watu wakiongelea Mwakyembe utafikiri yeye ndiye alienda sokoni india kununua hayo mabehewa.Lakini tunajua ni wale TEAM LOWASA baada ya kumkosa kumtoa ubunge Kyela AMBAKO Lowasa mwenyewe alienda kutaka kumtoa Mwakyembe aliyesoma ile Ripoti ya Richmond Bungeni ambayo ilkimtoa Lowasa mkuku kutoka uwaziri mkuu hadi kuchunga ng`ombe monduli.
Hawa wanaomwandama Mwakyembe ni ni Team LOWASA
Tunawaomba wabunge wazalendo hasa wa upinzani walivalie njuga hili jipu na wahakikishe linatumbuliwa mwakyembe ni lazima awajibishwe kwa kushindwa kuwajibika baada ya uzembe na wizi mkubwa kufanyika chini ya wizara yake,na atatoka tuMajipu ya TRL yalishatumbuliwa sana tu.Mwakyembe hakuwemo kwenye TendER board,Wala Hafanyi kazi kitengo cha procurement cha TRL,Wala si mjumbe wa BOARD YA TRL iliyointhiinisha hayo manunuzi.Wala hakuwa sehemu ya management.Wahusika direct walishatumbuliwa tena sana tu.
Watu wakiongelea Mwakyembe utafikiri yeye ndiye alienda sokoni india kununua hayo mabehewa.Lakini tunajua ni wale TEAM LOWASA baada ya kumkosa kumtoa ubunge Kyela AMBAKO Lowasa mwenyewe alienda kutaka kumtoa Mwakyembe aliyesoma ile Ripoti ya Richmond Bungeni ambayo ilkimtoa Lowasa mkuku kutoka uwaziri mkuu hadi kuchunga ng`ombe monduli.
Hawa wanaomwandama Mwakyembe ni ni Team LOWASA
Ngoma ndio kwanza bado mbichi na leo lazima moto uwake na ikitoka hiyo tunakuja na ile ya kivuko cha mv dsmHoja ya mabehewa fake Mwakyembe ameitolea ufafanuzi jana bungeni.
Hasa lile jipu kubwa la mv dsmTunasubiri Magu tuone akitumbua majibu maana vipele tumeona...
Jana na Leo Dr Mwakyembe ana kazi ya kujinasua ufisadi wa mabehewa feki 274. baada ya kushambuliwa na wabunge vijana Halima Mdee&Jesca Kishoa
Hoja ambazo Mwakyembe anapaswa kujibu ni;
1. Ripoti ya PPRA imethibitisha kwamba mabehewa yalonunuliwa y alikuwa na uwezo Chini ya kiwango
2. Malipo ya mabehewa yalifanyika kwa 100% kabla mabehewa kuwasili kinyume cha sheria ya Manunuzi
3. Kampuni iliyopewa zabuni, Hindustan Engineering Ltd ya India haikufanyiwa uchunguzi kuhusu Rekodi na uwezo wake (due deligency).
4. Katika orodha ya tuhuma Ambazo pccb wametangaza kuzipeleka mahakamani, ya mabehewa imo ingawa sio rahisi K ukamata vigogo aid I wataishia mafundi
5. Kwakuwa uchunguzi kuhusu sakata hili ulifanywa na vyombo vya dola kwa maana ya CAG, PPRA, AG& PCCB, kwanini Mwakyembe anatokwa povu kwa utetezi badala ya serikali Kuleta ripoti bungeni ili mbivu na Mbichi zijulikane?
6. Iweje Ufisadi huu mkubwa serikali ipige dili yenyewe, ijichunguze yenyewe na ijishughulikie yenyewe? kwann ugumu Kuleta ripoti bungeni tangu mwaka Jana?
7. Nani anajua kilichosababisha Mwakyembe aondolewe wizara ya uchukuzi na kupelekwa wizara ya Afrika mashariki katikati ya sakata hili?
TUNATAKA RIPOTI YA MABEHEWA BUNGENI