Mwakyembe, mburuze mahakamani Lowassa kesi ya Richmond

Mwakyembe, mburuze mahakamani Lowassa kesi ya Richmond

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,900
Reaction score
52,036
Mwakyembe kashika wizara ya sheria ambako kuna wanasheria wa serikali na waendesha mashtaka nguli waliobobea katika fani za sheria na wenye weledi mkubwa.

Mwakyembe wafurahishe na uwatendee haki watanzania,Kutana na wanasheria wako wizarani hapo mburuzeni Lowassa MAHAKAMANI kesi ya RICHMOND na angalieni na maeneo mengine aliyotupiga watanzania kwa kutuibia.

Chonde chonde Mwakyembe tusaidie watanzania.Wanasheria msaidieni Mwakyembe.Naamini wanasheria watakaoikalia vizuri hiyo kesi si ajabu wakaja kuwa marais baada ya Magufuli kumaliza awamu zake.
 
Sasa wewe sijui unafikiri kwa kutumia nini! MWAKYEMBE amshitaki Lowasa, Kikwete au yeye Mwenyewe?
 
Mwakyembe ameagiza mabehewa feki ya treni trl akapiga pesa akanunua kiwanja bahari beach tsh. bilioni moja ... huyu ni fisadi mzuri tu
 
SIPENDI bifU, kwa nini tusiendelee mbele???? Tunakwenda Mbele Tunarudi Nyuma, we are not creative at all!
People are making noises on Success of others, why?
Msipige kelele sana ktk mafanikio ya wengine, Mwakyembe Anapaswa kuangalia namna ya kupanua wigo wa ajira Tanzania katika mahakama zote ili Vijana wetu wanaomaliza Law school wapate ajira. Kuna watu wanafikiri kujiari ni rahisi, la hasha siyo hivyo, lakini siwakatazi kujaribu....But all in all Please unapaswa kutambua pesa katika lugha zote.
 
Mwakyembe kashika wizara ya sheria ambako kuna wanasheria wa serikali na waendesha mashtaka nguli waliobobea katika fani za sheria na wenye weledi mkubwa.

Mwakyembe wafurahishe na uwatendee haki watanzania,Kutana na wanasheria wako wizarani hapo mburuzeni Lowassa MAHAKAMANI kesi ya RICHMOND na angalieni na maeneo mengine aliyotupiga watanzania kwa kutuibia.

Chonde chonde Mwakyembe tusaidie watanzania.Wanasheria msaidieni Mwakyembe.Naamini wanasheria watakaoikalia vizuri hiyo kesi si ajabu wakaja kuwa marais baada ya Magufuli kumaliza awamu zake.

una mtindio wa ubongo
 
Mwakyembe kashika wizara ya sheria.Ambako kuna wanasheria wa serikali na waendesha mashtaka nguli waliobobea katika fani za sheria na wenye weledi mkubwa.

Mwakyembe wafurahishe na uwatendee haki watanzania,Kutana na wanasheria wako wizarani hapo mburuzeni Lowasa MAHAKAMANI kesi ya RICHMOND na angalieni na maeneo mengine aliyotupiga watanzania kwa kutuibia.

Chonde chonde Mwakyembe tusaidie watanzania.Wanasheria msaidieni Mwakyembe.Naamini wanasheria watakaoikalia vizuri hiyo kesi si ajabu wakaja kuwa maraisi baada ya Magufuli kumaliza awamu zake

Mwambie Huyo boss wako Mwakyembe kwanza ajifungulie kessi mwenyewe za kuiba Pesa za Ukarabati wa Reli ya Dsm- Tanga, Dsm- moshi, Dsm-kigoma na mwanza, ununuzi wa mabehewa mabovu, Treni ya daladala jijini Dsm , zile 10 percent ujenzi uwanja wa Dsm Airport na viwanja vingine vya ndege, wizi bandarini nk, Mwakyembe ni bonge la mwizi hata hiyo wizara kapewa kama fadhila kwa kazi aliyofanya Kipindi cha kampeni kwa kufanikisha kumrubuni DR Slaa na Lipumba hadi wakakubali kununuliwa na Membe kwa Dola million 2 slaa na lipumba dola million 1.5 pesa ambazo zilitoka kwenye Handaki zilikofichwa billion za marehemu Gadafi ambazo pia zimemsaidi kupiga Goli la mkono jimboni kwake kutokana na hali ilivyokuwa Mwakyembe asingeweza kuwa mbunge tena bali uchakachuaji ndiyo umemrejesha kuwa mbunge.
 
Mwakyembe kashika wizara ya sheria ambako kuna wanasheria wa serikali na waendesha mashtaka nguli waliobobea katika fani za sheria na wenye weledi mkubwa.

Mwakyembe wafurahishe na uwatendee haki watanzania,Kutana na wanasheria wako wizarani hapo mburuzeni Lowassa MAHAKAMANI kesi ya RICHMOND na angalieni na maeneo mengine aliyotupiga watanzania kwa kutuibia.

Chonde chonde Mwakyembe tusaidie watanzania.Wanasheria msaidieni Mwakyembe.Naamini wanasheria watakaoikalia vizuri hiyo kesi si ajabu wakaja kuwa marais baada ya Magufuli kumaliza awamu zake.


Utakua umelala na huyo Jizi Mwakyembe Endelea kuota lala nae..
 
Mwakyembe ameagiza mabehewa feki ya treni trl akapiga pesa akanunua kiwanja bahari beach tsh. bilioni moja ... huyu ni fisadi mzuri tu

Mwakyembe ni mwizi kuliko mwizi yeyote Tanzania sasa kamwazima Membe ule Utitiri wa waganga wa kienyeji toka Gambia, Mongolia na Nchi zingine upo kwake ukitekeleza kamati za Ufundi ili upepo wa bandarini na shirika la Reli na ile kesi ya kupinga matokeo yake ya Ubunge zipite mbali.
 
SIPENDI bifU, kwa nini tusiendelee mbele???? Tunakwenda Mbele Tunarudi Nyuma, we are not creative at all!
People are making noises on Success of others, why?
Msipige kelele sana ktk mafanikio ya wengine, Mwakyembe Anapaswa kuangalia namna ya kupanua wigo wa ajira Tanzania katika mahakama zote ili Vijana wetu wanaomaliza Law school wapate ajira. Kuna watu wanafikiri kujiari ni rahisi, la hasha siyo hivyo, lakini siwakatazi kujaribu....But all in all Please unapaswa kutambua pesa katika lugha zote.

Mafanikio yapi? Toa mfano Mwakyembe kafanikisha nini kisicho na Ufisadi? au unataka Mafisadi wasamehewe wote? Fafanua vizuri
 
Mbona hata Mwakyembe anayo Kesi ya kujibu.

Richmond ni ya Kikwete kama amechaguliwa kuwa Waziri kwa ajili ya kwenda kumkomoa Lowasa itakula kwake kwani yy mwenyewe ana vimeo vingi kuliko watu wote.
 
Duh huyu jamaa mfukunyuku anataka kumchanganya Mwaktembe ili unafiki wake uanikwe.
kuna hili Jipu Watanzania hawalijui lakini ni Jipu kubwa sana kuna pesa zilitengwa kwa Ajili ya Reli kwenda Airport, hiyo pesa ilipigwa na Mwakyembe pia mzee sita na yeye aliambulia chenji chenji kidogo hivyo majipu yapo kibao mwilini mwa Mwakyembe.
 
Kila mwenye makosa anastahili kushitakiwa !
Je Lowassa ashitakiwe kwa lipi?
Je Kama ni Issue ya Richmond amshitaki Nani kati ya hawa

@,Mwakyembe mwenyewe. KIKwete ?? LOWASSA ?? sitaa ??? dowans?? Obama/symbion.
 
Last edited by a moderator:
Mwakyembe ni mjanja mjanja sana ni mchapa kazi lakini hapo hapo huwa ni mwizi balaa sanjari na mnafiki mkubwa na mbinu mbalimbali za kimataifa ndiyo maana wakati mwingine hupata Wananchi wanaomwona na shujaa na mwadilifu , lakini kiundani Mwakyembe ni mwizi mkubwa.
 
Back
Top Bottom