Mwakyembe: Maisha yangu yapo hatarini

Status
Not open for further replies.
Mwakyembe bila shaka ile sumu aliyolishwa haijaisha mwilini na ndio maana anasema maisha yake yako hatarini!! Usanii wake ndio utamponza kwani wakati ule anaugulia alisema kuwa angewataja hadharani wale waliomfanyizia lakini kama alivyofanya kwenye ripoti ya Richamond hakufanya hivyo. Ni vigumu sana kumuamini huyu bwana anapotoa tamko lolote lile.
 
Watu wanaojificha nyuma ya keybodi MNA shida sana. Nani anajua mwakiembe ana vichekesho zaidi yako?
Sasa kama alikana andiko lake si ndio vichekesho vyenyewe? Au kwenda kwenye press wakati aliyetekwa ni mwingine si ndio vichekesho vyenyewe? Au kutishia kuzui TLS kufanya uchaguzi wake si ndio komedi yenyewe?
 
 
Mpuuzeni huyu mwoga wa kufa, mara usalama wa taifa, mara vodacom mara caspian, mara el shabaab mara wakabaji mara waganga...
Tumuulize ripoti ya kamati aliyounda mtangulizi wake kaifanyia kazi? Au ndo huyo mtuhumiwa anamtishia maisha?
 
Si awataje wanaomtishia? Mbona Bashe na Msukuma walimwaga mboga mubashara?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…