Mwakyembe kushuhudia CHIEF Frank Mnang'a Leonnel MAREALLE AKISTAAFU RASMI

kunze

JF-Expert Member
Nov 22, 2016
398
469
Hii Ni taarifa ya sahihisho ya iliyochapishwa kwamba Chief MAREALLE anajuzulu

Kesho tarehe 24/8/2019,Waziri wa Habari,Utamaduni,Vijana na Michezo,Dr. Harrison George Mwakyembe akiambatana na Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,John Samwel Malecela wataungana na machifu kutoka pande zote za nchi kushuhudia Chief MAREALLE akistaafu rasmi uchifu na kukabidhi kwa mrithi wake.

Aidha,zaidi ya machifu 120 wanatarajiwa kuungana pamoja na viongozi hao katika kushuhudia mabadilishano hayo ya uongozi huo wa kimila kwa njia za amani huku wakilazimika kuzimia masuala kadhaa yenye mwelekeo wa kuwezesha Tanzania ya viwanda.

Kufanyika kwa kusanyiko hilo la viongozi wa kiutamaduni litakuwa ni mara ya na e mfululizo huku kusanyiko lote likifadhiliwa kwa gharama za Chief Marealle.

Kwa wanaoishi Marangu na jirani na Kibo hotel,mnaomba kuhudhuria kongamano hilo ili kujifunza namna Bora ya kurithishana madaraka kwa njia za amani.
IMG_20190823_175431_7.jpeg
 
Anatawala wapi huko?? Mbona waziri wa JMT anaenda huko kusikojulikana jamani?? Huyu ni wa Kenya au? Weka maneno kwenye taarifa zako ili tusipotezwe
 
Hivi huu utawala wa kichief huwa unafanya kazi vipi maana huyu jamaa nimekua nikimsikia longtime ila the way huu mfumo wa kichief unafanya kazi ndo sijui hawafanyi mikutano kwa wananchi wanaimpact gani to the society?
 
We Mr Marangu na huyo chief wa Marangu halafu hujui utawala wake?
Hivi huu utawala wa kichief huwa unafanya kazi vipi maana huyu jamaa nimekua nikimsikia longtime ila the way huu mfumo wa kichief unafanya kazi ndo sijui hawafanyi mikutano kwa wananchi wanaimpact gani to the society?
 
Hii Ni taarifa ya sahihisho ya iliyochapishwa kwamba Chief MAREALLE anajuzulu

Kesho tarehe 24/8/2019,Waziri wa Habari,Utamaduni,Vijana na Michezo,Dr. Harrison George Mwakyembe akiambatana na Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,John Samwel Malecela wataungana na machifu kutoka pande zote za nchi kushuhudia Chief MAREALLE akistaafu rasmi uchifu na kukabidhi kwa mrithi wake.

Aidha,zaidi ya machifu 120 wanatarajiwa kuungana pamoja na viongozi hao katika kushuhudia mabadilishano hayo ya uongozi huo wa kimila kwa njia za amani huku wakilazimika kuzimia masuala kadhaa yenye mwelekeo wa kuwezesha Tanzania ya viwanda.

Kufanyika kwa kusanyiko hilo la viongozi wa kiutamaduni litakuwa ni mara ya na e mfululizo huku kusanyiko lote likifadhiliwa kwa gharama za Chief Marealle.

Kwa wanaoishi Marangu na jirani na Kibo hotel,mnaomba kuhudhuria kongamano hilo ili kujifunza namna Bora ya kurithishana madaraka kwa njia za amani.View attachment 1188552
Tumia maneno sahihi, wachaga hawakuwahi kuongozwa na machiefu.
 
Hajafurahia baby wetu kushikiliwa huyo? Kwa maana naona watu wake wamefurahi balaa.
 
Mahief wote tupo safarini Moshi kuhudhuria kustaafu kwa hief mwenzetu.
 
Back
Top Bottom