Junior Rutashoborwa
JF-Expert Member
- Oct 13, 2019
- 228
- 210
- Thread starter
-
- #21
Uelewa wako ndio shida sio ww mkuu.Huna lolote si ajabu wewe ni Makmango 4 au ni wale wale. Mtu mwenye busara hawezi kutaja utajiri wake mbele ya maskini. Au mwenye afya hawezi kuringia afya yake mbele ya wagonjwa vile vile sitegemei wpumbavu wajivunie upumbavu wao mbele ya kadamnasi.
Uheshimiwa wa makmango 4 uliishia pale pale aliposema upumbavu kwamba ana degree 4.Mkuu kwetu Kinondoni.
Kipi kijinga mheshimiwa Mwakyembe kafanya?
Angesema anasumbuliwa na mahusiano kwa miaka minne. Hapo ingekuaje?Uheshimiwa wa makmango 4 uliishia pale pale aliposema upumbavu kwamba ana degree 4.
Shenzi 4 mangoes
Mkuu safi hili jamaa linjifny linesom hata tofauti yk halielwiComplex inferiority =
Inferiority complex =
MTU akikosea kwako furaha..Mkuu safi hili jamaa linjifny linesom hata tofauti yk halielwi
Wewe waitu mzima unasoma bachelo of history, mtani unaniangusha..Kwa akili yako..mtu mwenye PhD ya neurosurgery ndio msomi wa juu.
Bogus kabisa!
History ni zaidi ya Ngoni migration mkuu...PhD ya historia ni bora kuliko PhD ya neurosurgery mkuu.Wewe waitu mzima unasoma bachelo of history, mtani unaniangusha..
Umetisha mshaija, vipi una senene hapo mfukoniHistory ni zaidi ya Ngoni migration mkuu...PhD ya historia ni bora kuliko PhD ya neurosurgery mkuu.
Umetisha mshaija, vipi una senene hapo mfukoni
Ujumbe wako uko crystal clear kabisa..
kwamba mwenye degree 4 hata zipu ya sarawali ikiwa wazi hadi apatikane mwenye degree 5 ndiye amjulishe
wonderfool ishomile..
Ala kumbe anasumbuliwa na mahusiano pia? Hili sikulijua. Asante bw. Rutashobo kwa taarifa.Angesema anasumbuliwa na mahusiano kwa miaka minne. Hapo ingekuaje?
Tafuta zako na wewe ile complex inferiority ikutoke.
Hi everyone in here!
Bila kupindapinda nasema hivi: Watanzania wengi hasa hasa maskini na wasio na elimu dunia wanasumbuliwa na complex inferiority yaani umaskini wao na udogo wa elimu yao unawafanya wawaone matajiri na wenye elimu kama maadui. Kwa tabia hizi tutafikia kweli uchumi wa viwanda?
Juzi hapa nimepost kuhusu uncle wangu aliyechanganyikiwa. Huwezi amini moderators wakatoa wakauamisha uzi wangu na kuupeleka kwenye jukwaa la utani. Eti hawaamini kuwa yale ni maisha ambayo watanzania wanaishi. Wanakataa kuwa kuna shule za nursery watoto wanalipa milioni 27 kwa mwaka! Tutafika tuendako kweli?
Juzi Mheshimiwa Mwakyembe amesema hawezi kukosololewa na MTU wa elimu ndogo kwa kuwa yeye ni msomi wa degree nne. Watu wamepanic wametukana hadi wanatia huruma.
Akilini nikajiuliza kama degree nne wanatukana, vipi Mzee wangu Rutashoborwa mwenye degree 7 na anampango wa kuongeza tatu, siku akiitisha press conference na kusema hivyo so nchi itamtenga.
Mimi binafsi, sijaona kosa la Mwakyembe, degree nne ni za kwake, darasa la saba ni la kwako. Kila mtu ana uwezo wake na tuuheshimu.
Tukiheshimiana tutapendana, tukipendana tutaheshimiana.
Jambo Tanzania.
Iwee shomile! Wagambila stupid in front of my wife?Hi everyone in here!
Bila kupindapinda nasema hivi: Watanzania wengi hasa hasa maskini na wasio na elimu dunia wanasumbuliwa na complex inferiority yaani umaskini wao na udogo wa elimu yao unawafanya wawaone matajiri na wenye elimu kama maadui. Kwa tabia hizi tutafikia kweli uchumi wa viwanda?
Juzi hapa nimepost kuhusu uncle wangu aliyechanganyikiwa. Huwezi amini moderators wakatoa wakauamisha uzi wangu na kuupeleka kwenye jukwaa la utani. Eti hawaamini kuwa yale ni maisha ambayo watanzania wanaishi. Wanakataa kuwa kuna shule za nursery watoto wanalipa milioni 27 kwa mwaka! Tutafika tuendako kweli?
Juzi Mheshimiwa Mwakyembe amesema hawezi kukosololewa na MTU wa elimu ndogo kwa kuwa yeye ni msomi wa degree nne. Watu wamepanic wametukana hadi wanatia huruma.
Akilini nikajiuliza kama degree nne wanatukana, vipi Mzee wangu Rutashoborwa mwenye degree 7 na anampango wa kuongeza tatu, siku akiitisha press conference na kusema hivyo so nchi itamtenga.
Mimi binafsi, sijaona kosa la Mwakyembe, degree nne ni za kwake, darasa la saba ni la kwako. Kila mtu ana uwezo wake na tuuheshimu.
Tukiheshimiana tutapendana, tukipendana tutaheshimiana.
Jambo Tanzania.
Inabidi waweke na standard ya elimu ya wanaotakiwa kuwasifia. Maana wanasifiwa sana na wasioenda shule kabisa na wanashangilia ila kukosolewa ndo wanaweka standard ya elimuAkichokosea Mwakiembe ni "sikosolewi na mtu wa elimu mdogo " elimu haina mwisho hata mtoto mdogo anaweza kukukosoa. Kuna mtoto wa nursery alimkosoa professor katika grammar - English