Junior Rutashoborwa
JF-Expert Member
- Oct 13, 2019
- 228
- 211
Mkuu kwetu Kinondoni.Endelea kula tu matoke huko kwenu kashozi..maana umeandika ujinga ujinga sana..
Kwahiyo mtu akiwa na degree nne akiwa anakunya nje ya nyumba inabidi walioishia darasa la nne wasimwambie aache ujinga??
Tofautisha ugonjwa na elimu. Kukosa elimu dunia sio ugonjwa.Iv na wakuitwa Roma akisema habishan na wenye HIV atakua mbaguzi
Unashida gani kwenye akili yako?Kwa hiyo Dr. Shika asishauriwe hata akijamba au akinya mavi pale kituo cha daladala anapolala
Kumbe namkosoa kichaa ok basi sawaUnashida gani kwenye akili yako?
Mbona mnatengeneza metaphors zisizo na kichwa wala miguu?
Sasa kipi alichofanya mheshimiwa Mwakyembe mpaka ikilinganishe na kunya kwenye kituo cha mabasi?Kumbe namkosoa kichaa ok basi sawa
Asante mkuu.Complex inferiority = [emoji735]
Inferiority complex = [emoji3514]
Umenielewa vibaya?Ujumbe wako uko crystal clear kabisa..
kwamba mwenye degree 4 hata zipu ya sarawali ikiwa wazi hadi apatikane mwenye degree 5 ndiye amjulishe
wonderfool ishomile..
Hata uwe nazo Mia,si kigezo cha kujua kila kitu.Kujua kila kitu ndo kiwaangushao viongozi wengi,wakidhani wanajua kila kitu awahitaji ushauri kumbe ni weupe nje ya walivokariri darasani.Mtu yeyeto anaweza akakariri na kuzipata hata degree 1000 kusoma na kuelimika ni vitu viwili tofauti.Hi everyone in here!
Bila kupindapinda nasema hivi: Watanzania wengi hasa hasa maskini na wasio na elimu dunia wanasumbuliwa na complex inferiority yaani umaskini wao na udogo wa elimu yao unawafanya wawaone matajiri na wenye elimu kama maadui. Kwa tabia hizi tutafikia kweli uchumi wa viwanda?
Juzi hapa nimepost kuhusu uncle wangu aliyechanganyikiwa. Huwezi amini moderators wakatoa wakauamisha uzi wangu na kuupeleka kwenye jukwaa la utani. Eti hawaamini kuwa yale ni maisha ambayo watanzania wanaishi. Wanakataa kuwa kuna shule za nursery watoto wanalipa milioni 27 kwa mwaka! Tutafika tuendako kweli?
Juzi Mheshimiwa Mwakyembe amesema hawezi kukosololewa na MTU wa elimu ndogo kwa kuwa yeye ni msomi wa degree nne. Watu wamepanic wametukana hadi wanatia huruma.
Akilini nikajiuliza kama degree nne wanatukana, vipi Mzee wangu Rutashoborwa mwenye degree 7 na anampango wa kuongeza tatu, siku akiitisha press conference na kusema hivyo so nchi itamtenga.
Mimi binafsi, sijaona kosa la Mwakyembe, degree nne ni za kwake, darasa la saba ni la kwako. Kila mtu ana uwezo wake na tuuheshimu.
Tukiheshimiana tutapendana, tukipendana tutaheshimiana.
Jambo Tanzania.
Kwa akili yako..mtu mwenye PhD ya neurosurgery ndio msomi wa juu.Sisi wenye PhD zetu za nuerosurgery tunakomenti wapi, maana mangwini mnajitutumua sana
At least wewe unauelewa kidogo.ukijua kazi ya waziri (mwakilishi) ni nini, na pia ukajua kwamba yule waziri yupo bali kufanya kazi kwa niaba na kuwaletea maendeleo wananchi basi utajua kwamba inabidi afanye yale wananchi wanayataka, na kufanya wanayoyataka itaendana tu na kupata ushauri kutoka kwao no matter elimu yao.. (ila kama alimaanisha ushauri kuhusu famila yake na biashara zake, basi hio ni his prerogative..)
Huna lolote si ajabu wewe ni Makmango 4 au ni wale wale. Mtu mwenye busara hawezi kutaja utajiri wake mbele ya maskini. Au mwenye afya hawezi kuringia afya yake mbele ya wagonjwa vile vile sitegemei wpumbavu wajivunie upumbavu wao mbele ya kadamnasi.Hi everyone in here!
Bila kupindapinda nasema hivi: Watanzania wengi hasa hasa maskini na wasio na elimu dunia wanasumbuliwa na complex inferiority yaani umaskini wao na udogo wa elimu yao unawafanya wawaone matajiri na wenye elimu kama maadui. Kwa tabia hizi tutafikia kweli uchumi wa viwanda?
Juzi hapa nimepost kuhusu uncle wangu aliyechanganyikiwa. Huwezi amini moderators wakatoa wakauamisha uzi wangu na kuupeleka kwenye jukwaa la utani. Eti hawaamini kuwa yale ni maisha ambayo watanzania wanaishi. Wanakataa kuwa kuna shule za nursery watoto wanalipa milioni 27 kwa mwaka! Tutafika tuendako kweli?
Juzi Mheshimiwa Mwakyembe amesema hawezi kukosololewa na MTU wa elimu ndogo kwa kuwa yeye ni msomi wa degree nne. Watu wamepanic wametukana hadi wanatia huruma.
Akilini nikajiuliza kama degree nne wanatukana, vipi Mzee wangu Rutashoborwa mwenye degree 7 na anampango wa kuongeza tatu, siku akiitisha press conference na kusema hivyo so nchi itamtenga.
Mimi binafsi, sijaona kosa la Mwakyembe, degree nne ni za kwake, darasa la saba ni la kwako. Kila mtu ana uwezo wake na tuuheshimu.
Tukiheshimiana tutapendana, tukipendana tutaheshimiana.
Jambo Tanzania.
Roma [emoji106]