uyu jamaa na magufuli nawakubali sana yani ndio viongoz wa tanzania ninao wakubali hao tu wawili
Madaraja ya usafiri yako kwa mujibu wa kanuni za kudumu za utumishi wa umma. Wapo watumishi kwa mujibu wa nyadhifa zao wanastahili kusafiri kwa daraja la I,II na III. Kuwazuia watumishi wa wizara yake pekee huku watumishi wa taasisi nyingine za serikali wakiendelea kuponda raha,kwa maoni yangu nadhani wahusika hawajatendewa haki. Pengine ingekuwa vema kama mh. Mwakyembe angewasilisha mapendekezo ya marekebisho ya kanuni kwenye mamlaka husika ili kuzuia watendaji wote wa umma wakiwemo mawaziri kusafiri kwa daraja la kwanza. Kwa kufanya hivyo naamini tungeokoa fedha nyingi zaidi. Naunga mkono hoja yake lakini isiishie wizarani kwake tu.