Hana lolote huyo kasoma nini Yeye? Usomi huo wa kifisadi una faida gani kwa Taifa? Kule Airport alipiga 10% Ujenzi wa majengo mapya na Treni toka mjini hadi Airport, Bandarini alipiga Dili kibao akapenyeza Ukabla akawaajili ndugu zake kibao, PhD za kununua mabehewa Feki, kuchakachua reports ya Richmond hizo zina manufaa gani? Mbona Dr Slaa na prof Lipumba ni Wasomi lakini walirubuniwa na Div four Nape Nnauye pia Div zerooo form six January Makamba, Wanaojiita Wasomi CCM wote ni Mafisadi angalia tabia za Chenge, werema, Tibaijuka, Kapuya, mbilinyi, ngereja na wenzao zinafanana na Tabia za Ally kessy?