Mwakyembe awamaliza CHADEMA Bungeni!

Mwakyembe awamaliza CHADEMA Bungeni!

Msomi wa sheria asiyejua kuwa Uchaguzi wa marudio Zenj haukuwa halali kisheria!!
.........mtu akificha ukweli anaoujuwa na watu wakajuwa kuwa kauficha na anajuwa watu wamejuwa kuwa anaujuwa lakini kauficha na bado akaendelea kuficha kinachojulikana, hataaminika hata pindi akinena lililo la kweli. na hapo ndipo hata mfalme huanguka.
 
Mwakyembe yupi, au ni Harrison huyu waziri wa sheria aliyeomba mwongozo wa hovyo juzi kuhusu wabunge wa upinzani kunyimwa posho? Kama ni yeye afadhali hata ya Sugu ana uwezo wa kujenga hoja. Mawaziri walio wengi wa CCM ni mizigo.
 
Mtaalam wetu wa sheria aliyekana tafiti kwa sababu ya siasa za Chama changu. Ila kawambia kabisa ukweli kina Suguu.
 
Dah....yaani wapinzani wana Elimu ndogo sana wanashindwa hata na Migambo
 
Mwalimu wa sheria asiye jua sheria,
rejea posho za wabunge wa UKAWA
Atakumbushwa suala la vichwa vya treni na madai yake CCM walitaka kumkolimba
Jamaa feki
 
Hana lolote huyo kasoma nini Yeye? Usomi huo wa kifisadi una faida gani kwa Taifa? Kule Airport alipiga 10% Ujenzi wa majengo mapya na Treni toka mjini hadi Airport, Bandarini alipiga Dili kibao akapenyeza Ukabla akawaajili ndugu zake kibao, PhD za kununua mabehewa Feki, kuchakachua reports ya Richmond hizo zina manufaa gani? Mbona Dr Slaa na prof Lipumba ni Wasomi lakini walirubuniwa na Div four Nape Nnauye pia Div zerooo form six January Makamba, Wanaojiita Wasomi CCM wote ni Mafisadi angalia tabia za Chenge, werema, Tibaijuka, Kapuya, mbilinyi, ngereja na wenzao zinafanana na Tabia za Ally kessy?
 
Back
Top Bottom