prof.mutunga
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 341
- 60
Nimeamini usemi wa msigwa kuwa ukiwa ccm hata kama wewe ni profesa au dr. Lazima akili uziweke mfukoni, dr. Mwakyembe asema hakuna haja ya kuwa na katiba mpya,wakati akitoa mada, chuo cha tumaini iringa
Kwa ufupi aliwakataza waandishi wa habari kuingia ndani, akaanza kumwaga pumba, eti anawashangaa watz kuandamana kisa katiba mpya wakati siyo suluhisho kwa nchi masikini binafsi nikaamini ccm wote wanafiki watupu!
Kwa ufupi aliwakataza waandishi wa habari kuingia ndani, akaanza kumwaga pumba, eti anawashangaa watz kuandamana kisa katiba mpya wakati siyo suluhisho kwa nchi masikini binafsi nikaamini ccm wote wanafiki watupu!