Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,169
- 48,451
ameshatulia na anajua Urais hawezi kuupataUkwaju kama aliweza kulikana andiko lake aliloandika wakati akiwa Mhadhiri kwa nini ushangae ugeu geu wake??
Wewe ni kasuku au nyumbu tu. Hivi katiba mpya ndio shida kubwa ya tanzania? Katiba hii unafikiri ndio inainyima chadema au upinzani kuingia madarakani? Wajinga tu ndio wanafikiri tatizo la upinzani kutoshinda uchaguzi ni katiba. Wanafikiri inaweza kuja katiba ya kuipiga marufuku ccm au kua na kifungu 'chama kimoja hakiruhusiwi kuongoza misimu miwili' etcNimeamini usemi wa msigwa kuwa ukiwa ccm hata kama wewe ni profesa au dr. Lazima akili uziweke mfukoni, dr. Mwakyembe asema hakuna haja ya kuwa na katiba mpya,wakati akitoa mada, chuo cha tumaini iringa
Kwa ufupi aliwakataza waandishi wa habari kuingia ndani, akaanza kumwaga pumba, eti anawashangaa watz kuandamana kisa katiba mpya wakati siyo suluhisho kwa nchi masikini binafsi nikaamini ccm wote wanafiki watupu!
kilichokukimbiza jf ni kipi ?Tatizo misukule huwa mnanukuu neno moja badala ya kusikiliza sentensi nzima