Jakubumba
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 1,624
- 501
Tatizo misukule huwa mnanukuu neno moja badala ya kusikiliza sentensi nzima
Sikufahamu, hunifahamu ila naomba nikushauri kitu kimoja, jaribu kutumia maneno yenye staha unapojibu hoja. Sisi wote ni binadamu, tunatofautiana mitazamo, kuwaita wenzio misukule unakuwa hujawatendea haki watu wote mnaotofautoana mawazo. Hakima ni kitu cha muhimu sana.