Mwakyembe anasikitisha! Walaaniwe wanaohusika!

hii ndiyo sababu wasomi wengi sana wanabakia kuwa walimu wa vyuo vikuu, wanaachana kabisa na hii kitu.
 
huyu alikuwa na kiherehere sana

Sio wewe ndio mwenye kiherehere kwa kua na fikra mgando ndani ya jukwaa la great thinkers?unahitaji ukombozi wa ki fikra kwanza!shame on you
 
Bujibuji you have multdisability,kwani hizo ndio dalili zake kitaalam.
 
It is very sad kwa kweli. Get well soon Mwakyembe!

 
Mpaka swahiba Rost za mazizi nae nimemuuliza anakana wala hajui. Huyo kalogwa kwao
 
Watu wa CCM ni wauaji kabisa na sisi huku Mbeya hatuwataki kabisa.

una evidence yoyote kwamba ni CCM ndio waliofanya hayo mambo...? watu mbeya si mmechagua galasa liwe mbunge wenu ati SUGU seriously... kawasahau as if mmemchagua aende bungeni kugombana na ruge


 
Kikwete anajua a-z ya hili tukioshame on him na familia yake
 
Pole sana Dr. Hivi Prof mwandosya nae anaendeleaje?
 


una evidence yoyote kwamba ni CCM ndio waliofanya hayo mambo...? watu mbeya si mmechagua galasa liwe mbunge wenu ati SUGU seriously... kawasahau as if mmemchagua aende bungeni kugombana na ruge


wee kitoweo unasemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…