Wanajamvi,awali ya yote niwatake radhi kwa topic hii,ingawa naamini kuuliza si ujinga.Sijakuwepo mjini kwa siku kadhaa,na niliporejea-leo asubuhi nikasikia mgonjwa wetu Dr Mwakyembe anatarajiwa kuanza rasmi majukumu yake ya kiofisi leo!Naomba anayefahamu mheshimiwa amerejea lini na vp maendeleo yake anijuze.Huyu ni mkombozi wa taifa letu ambaye anataka kuwahishwa ahera!