GE2025 Mwakilishi wa CHADEMA, Mchome aibukia kwenye Mkutano Mkuu wa CHAUMMA

GE2025 Mwakilishi wa CHADEMA, Mchome aibukia kwenye Mkutano Mkuu wa CHAUMMA

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Lembrus Mchome, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Mwanga, ametambulishwa kama Mwakilishi wa CHADEMA, kwenye Mkutano Mkuu wa CHAUMMA

 
Wakuu,

Lembrus Mchome ameonekana akiwa kwenye mkutano wa CHAUMMA.

Kapigiwa shangwe la kufa mtu

 
Lembrus Mchome, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Mwanga, ametambulishwa kama Mwakilishi wa CHADEMA, kwenye Mkutano Mkuu wa CHAUMMA

Mbowe ataendelea KUPIMA UPEPO hadi lini? Ajitokeze sasa na kupeperusha bendera ya ugombea U-rais kwenye chama chake, aache kujificha ficha.
 
Kusema ongo hadharani ni ujasiri, John Mrema ni mtaalamu wa uongo.
 
Back
Top Bottom