Nasema, mpiga picha lazima ana kinyongo na Mwakalebela. Naona huyu jamaa ni Simba dam dam. Kwanza, picha yenyewe kaipigia nyuma ya Mwakalebela. Watu wapo mbele ya jukwaa kule uwanjani.
Pili, kulikuwa na mizengwe alinyimwa uanja wa Makongoroni ati ni mali ya UKAWA. Uanja wa SAMORA ulikuwa unakarabatiwa. Jukwaa lake lilikuwa kubwa mno akashindwa kulifunga kwani fundi kahongwa na UKAWA.
Hakika, jimbo tutalikomboa kutoka Chadema.
Mbavu siiiina. Duh! Chama kongwe kipo taaban, ndembe ndembe, mlalo wa chaliii, miguu juu ka mende. Hata kukitaja sasa wanakiogopa ka ukoma