Mwakalebela afunika vibaya Iringa (mafuriko)

Mwakalebela afunika vibaya Iringa (mafuriko)

duh, Msigwa anakazi sana mwaka huu. ila watu wawe makini hapo wasije wakakanyagana.
 
Ni kweli kwa jimbo kama la Iringa, na kwa mshindani wake mchungaji Peter Msigwa, hao watu waliohudhuria wanapaswa kuitwa mafuriko.
 
Hivi kuwa mnene na kitambi kikubwa bongo imekuwa fashen. Yani kiribu kila mwanaume anakataka kuwa mnene na kitambi.
 
hivi hakuna mtu mwenye picha za kampeni za yule mgombea wa ACT chiku?
 
Weka na hizi mkuu.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    37.7 KB · Views: 419
We mama simiyu yetu huu ni mkutano wa mbunge wa ccm jimbo la iringa we unaleta picha za fiesta ya jangwani ikiongozwa na dayamondi
 

Ni kweli...!

attachment.php


Kweli tupu...!

Msigwa akiwa barabara mbili kata ya makorongoni..yaani hapo ni mjini kati.
Hata wale wauza ulanzi walisepa.
 

Attachments

  • 1442151434649.jpg
    1442151434649.jpg
    20.2 KB · Views: 449
  • 1442151450213.jpg
    1442151450213.jpg
    22.4 KB · Views: 423
Loh salaaleeeeeee.....
Katika hali isiyotarajiwa mgombea ubunge wa ccm jimbo la Iringa amepata mafuriko ya watu katika mikutano yake ya kampeni kama picha zinavyojieleza na kutokana na misongamano ya watu wengine walijikuta wanazimia hovyo
 
Bila aibu leo wanataka kura zetu sheeeeemmm
 

Attachments

  • 1442163190012.jpg
    1442163190012.jpg
    25.3 KB · Views: 368
Hii kali!!! Kwa Ccm kweli hii ni sunami maana wamwmudu hata kukodiahiwa viti. Kikao cha familia.
 
Back
Top Bottom