Mwaka wa kwanza,Kituko cha kwanza...

Wakikaa chumba kimoja: mambo ya kuoga, kubadili nguo, ndoto za kuongea n.k itakuwaje wakuu.
 
Wengine na mabegi yao wanashukia utawala,wanagombania benki kulipa ada na fee nyingne wakiwa na hofu na deadlines hawajui chuo hakunaga deadlines...nilifurahi kwani nilikutana na dogo wa first year maeneo ya mdegree akaniuliza ,samahani braza eti nkrumah hall ni wapi?..na masomo yakianza ndio vituko vitakuwa vingi maana ratiba inachanganya,venue hazieleweki,umbali sasa fikiria utoke lectr yombo3 uwahi seminar coet a106.,karibuni jeshini madogo ila mkumbuke hakuna kengele so is up to you to keep time..nb-punguzeni usista duu na usharobaro maana wengne hadi wanachekesha.
 
Ni kituo cha Mabasi ya Mikoani Ubungo. Naingia kukata tiketi ya Arusha. Nimeshaipata. Sasa wakati natoka nje,nawakuta madereva wa taksi na bajaji wanawazonga vijana wawili:mmoja msichana,mmoja mvulana. Nikasogea kuona na kusikia. Walikuwa wanazongwa ili wapande kwenye ima bajaji au taksi ili wapelekwe UDSM kwakuwa ndio wamefika kama wanafunzi wa mwaka wa kwanza.

Kwa uzalendo wangu kama mwana-UD wa zamani nikaingilia kati na kuinunua kesi. Nikawasogeza pembeni wanafunzi wale. Wakaniarifu mengi. Kubwa ni kwamba wanataka kufika UDSM. Wamebeba unga,mchele,maharage,mafuta ya kupikia na mafuta ya taa. Wa kike amebeba na sufuria na baadhi ya vyombo vya chakula. Si mchezo!

Sasa kituko: wakaniarifu kuwa wao ni ndugu wanaotokea Bukoba. Wakasema kuwa wameambiwa nyumbani kuwa wakae chumba kimoja ili kupunguza gharama. Wahakikishe inakuwa hivyo. Ni lazima. Itawezekanaje ikiwa UDSM kuna hosteli za kike na za kiume? Mwisho mwishoni,nikawachukua garini mwangu hadi UDSM. Nimewashusha stendi ya Utawala.Nikawauliza:mnahitaji msaada wowote mwingine? Wakajibu:'hapana kaka.Hapa tumeshafika.Asante sana'. Kazi ipo...

Mhh kaka walikwa wanhitaji msaada mwingine mkubwa sana wa kuwaeleza kuwa hawawezi kukaa chumba kimoja,lkn pia wanahitaji sana msaada ila hawajui kama wanauhitaji,walijiona wamefika lkn hawajafika kwani hawajui watalala wapi...anyway kwa kuwa UDSM kuna kamati aya kuwapokea 1st yrs may b wamepokelewa
 
Mi nilifikiri haya mambo kwa miaka hii yameisha, kumbe bado yapo!, kuna haja ya wageni wa maeneo mbali mbali nchini kupata taharifa ya mahala uendapo mapema, vinginevyo utaingia kwenye mitego ya matapeli.

Haya mambo hayawezi isha shukuru mungu kama umepita sehemu mbalimbali ila kiukweli mtu akiingia jijini Dar for the first time mitaa yote ya posta anaiona ipo sawa na tatizo hatujazoea utamaduni wa kutembea na ramani na wagumu pia kutumia taxi baada ya kupata information za awali kuhusu mahali unapokwenda na ndio maana inakuwa shida kwa watu wengi kwani akiingia tu ile foleni ya magari na barabara ndefu double road vinamchanganya.
 
Wakora waitu,na mbakashebonoko

Chonka VUTA-NKUVUTE aine mtima gurungi ila sijui kama na yeye akienda kule BK atapata msaada kama huo, amefanya vizuri sana kuwasaidia by the way maana jijini si mchezo wangewazungusha kwa kupitia Sinza mpaka Mwenge alafu wangewapa bonge ya bill alafu baada ya wiki kadhaa wangejiona wameingizwa mjini
 
Last edited by a moderator:
Mimi nadhani hawa jamaa wanataka kuleta kisa kama kile cha Abrahamu(kwenye biblia) alipoenda nchi flani,wakakubaliana na mke wake ili waseme ni mtu na dada yake,Abrahamu asije akauuwawa na wanaume wa nchi ile na mke wake kuchukuliwa kwa7bu alikuwa mrembo sana. Hawa watakuwa ni mtu na mpenzi wake.
 
Hapana Mkuu. Mimi ni mgoni,no Mngoni...

Hahahah!! Unatuhusudu eenhe!! We were born Kings, we live happy life. The whole world knows and admires us! There is no way you can be born Mngoni!! Anyway ukitaka dada Snowhite AKUOE ili watoto wako wawe WANGONI. Karibu
 
Hahahah!! Unatuhusudu eenhe!! We were born Kings, we live happy life. The whole world knows and admires us! There is no way you can be born Mngoni!! Anyway ukitaka dada Snowhite AKUOE ili watoto wako wawe WANGONI. Karibu
Mkuu,sitanii mimi ni Mngoni. Mama amezaliwa Likuyu Fusi na Baba amezaliwa Peramiho-Parangu.Ufuna nijoha kyani namyangu?
 
Back
Top Bottom