Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,744
Jana nimemwambia My girlfriend. Kuwa sitokuwa tayari kuendelea kuwa naye. Hivyo nam release. Ili mimi nikatafute changamoto nyingine.
Amelalamika na kulia sana. But nimemwambia sina namna. Nimemuuliza kama yupo tayari tuendelee kuwa pamoja ila asitegemee niwe nampa pesa. Amenyamaza hajajibu hiyo text. Ni kama hajaiona. Ila anataka tuendelee kuwa pamoja.
Kiukweli mimi mwaka huu malengo ni kutokuhonga hata thumni.
Unanipenda, Ninakupenda, Tunapendana, Tunapeana.
sitaki shida. Una baba yako nami ninaye wangu. Tukutane kwenye kupeana tu. Shida zako kaa nazo nami zangu nakaa nazo.
Amelalamika na kulia sana. But nimemwambia sina namna. Nimemuuliza kama yupo tayari tuendelee kuwa pamoja ila asitegemee niwe nampa pesa. Amenyamaza hajajibu hiyo text. Ni kama hajaiona. Ila anataka tuendelee kuwa pamoja.
Kiukweli mimi mwaka huu malengo ni kutokuhonga hata thumni.
Unanipenda, Ninakupenda, Tunapendana, Tunapeana.
sitaki shida. Una baba yako nami ninaye wangu. Tukutane kwenye kupeana tu. Shida zako kaa nazo nami zangu nakaa nazo.