VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,481
- 1,450
Kama wewe ni muajiliwa, thamini jasho lako.
Siku ukigundua kuwa kwa mwaka mzima, yaani jumla ya miezi kumi na mbili(12), unalipwa tu siku 12, basi jifunze kuthamini hicho unachokipata, ila kumbuka siku nyingine ndo hivo ni hasara tu.
Ukipenda pia, uwe unaingia kazini siku ya kupokea mshahara tu. Ndo nachofanyaga na mimi.
Siku ukigundua kuwa kwa mwaka mzima, yaani jumla ya miezi kumi na mbili(12), unalipwa tu siku 12, basi jifunze kuthamini hicho unachokipata, ila kumbuka siku nyingine ndo hivo ni hasara tu.
Ukipenda pia, uwe unaingia kazini siku ya kupokea mshahara tu. Ndo nachofanyaga na mimi.