Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Katika thread mbali mbali ambazo tumechambua mwaka huu wa 2011, binafsi nimefarijika na kufaidi michango ya wadau kuhusu taasis ya ndoa. Ndoa ni taasisi ni muhimu sana na kila mmoja wetu analo jukumu la kulinda ndoa yake na pia kutoa support kwa ndoa za marafiki zake. Ili ndoa idumu, kuna vitu ambavyo ni muhimu sana kuvipa kipaumbele. Hivi ni pamoja na,
1. Upendo….Ni muhimu kuonesha kwa maneno na vitendo kuwa unampenda mwenzio na kumthamini. In short, mke au mme anatakiwa awe nambari one siku zote…
…Kwenye hili suala huwa sitaki utani…my wife is always nambari one and I can give anything including my life to protect her!!
2. Heshima na uvumilivu…Bila kuyaonesha haya kwa vitendo lazima ndoa itayumba
3. Kujitoa (sacrifice)…Kama hauko tayari kujitoa kwa ajili ya mwenzi wako ni bora ubaki single au ukapursue line nyingine za maisha ikiwemo utowashi!!
4. Uaminifu….Hapa ni pagumu sana ila ni eneo nyeti…Ukishindwa basi tumia kanuni ambazo wadau walileta na kujadili hapa….Cheating should be avoided but doing it responsively ni sehemu ya uungwana kwenye ndoa
5. Consensus .. ni muhimu sana kukubaliana katika vitu vya msingi na kutekeleza hayo makubaliano kwa vitendo! Kuacha kila mtu afanye mambo yake kwenye ndoa ni sawa na kuwa na jeshi lisilo na kamanda…Lazima litasambaratika tu!
Yapo mambo mengine mengi na wadau wanaweza kuyaongeza. Hata hivyo kuna changamoto nyingi ambazo zimejitokeza hivi karibuni na wadau wanatakiwa kupambana nazo.
1. Uzoefu wa wanandoa unaotokana na kuwa na mahusiano ya ki-ngono kabla ya ndoa…
……Enzi zile watu walikuwa wanakutana wakiwa mabikra…hawakuwa na kitu chochote cha kufanyia reference. Je tunafanyaje kudeal na historia zetu za nyuma katika ndoa zetu ili zisituyumbishe?
2. Watoto waliopatikana kabla ya ndoa….Hili ni gumu sana especially kwa wanawake kuliko kwa wanume….Linachangiaje ku-destabilize ndoa??...Naomba michango ya wadau!!
3. Tofauti ya kipato…Hili ni janga jingine especially mwanamke anapokuwa na uwezo zaidi ya mwanamume. Hapa couples zinatakiwa kukubaliana jinsi ya kuhandle mambo ya pesa!
4. Infidenlity inayopata support ya technology mpya….Siku hizi ni rahisi sana kukutana na watu wapya na kuweka mambo sawa bila hata kutakiwa kusafiri…!! Wanandoa wanatakiwa kukwepa haya mambo ili kutowaumiza wenzi wao!
Naamini kuwa, tunatakiwa kuelewa kwamba kuna mabadiliko makubwa yaliyotokea hivi karibuni na hivyo tuchukue hatua mathubuti ili kuimarisha ndoa zetu,
Nawatakia heri ya mwaka mpya wa 2012!!
Babu DC (1947)
1. Upendo….Ni muhimu kuonesha kwa maneno na vitendo kuwa unampenda mwenzio na kumthamini. In short, mke au mme anatakiwa awe nambari one siku zote…
…Kwenye hili suala huwa sitaki utani…my wife is always nambari one and I can give anything including my life to protect her!!
2. Heshima na uvumilivu…Bila kuyaonesha haya kwa vitendo lazima ndoa itayumba
3. Kujitoa (sacrifice)…Kama hauko tayari kujitoa kwa ajili ya mwenzi wako ni bora ubaki single au ukapursue line nyingine za maisha ikiwemo utowashi!!
4. Uaminifu….Hapa ni pagumu sana ila ni eneo nyeti…Ukishindwa basi tumia kanuni ambazo wadau walileta na kujadili hapa….Cheating should be avoided but doing it responsively ni sehemu ya uungwana kwenye ndoa
5. Consensus .. ni muhimu sana kukubaliana katika vitu vya msingi na kutekeleza hayo makubaliano kwa vitendo! Kuacha kila mtu afanye mambo yake kwenye ndoa ni sawa na kuwa na jeshi lisilo na kamanda…Lazima litasambaratika tu!
Yapo mambo mengine mengi na wadau wanaweza kuyaongeza. Hata hivyo kuna changamoto nyingi ambazo zimejitokeza hivi karibuni na wadau wanatakiwa kupambana nazo.
1. Uzoefu wa wanandoa unaotokana na kuwa na mahusiano ya ki-ngono kabla ya ndoa…
……Enzi zile watu walikuwa wanakutana wakiwa mabikra…hawakuwa na kitu chochote cha kufanyia reference. Je tunafanyaje kudeal na historia zetu za nyuma katika ndoa zetu ili zisituyumbishe?
2. Watoto waliopatikana kabla ya ndoa….Hili ni gumu sana especially kwa wanawake kuliko kwa wanume….Linachangiaje ku-destabilize ndoa??...Naomba michango ya wadau!!
3. Tofauti ya kipato…Hili ni janga jingine especially mwanamke anapokuwa na uwezo zaidi ya mwanamume. Hapa couples zinatakiwa kukubaliana jinsi ya kuhandle mambo ya pesa!
4. Infidenlity inayopata support ya technology mpya….Siku hizi ni rahisi sana kukutana na watu wapya na kuweka mambo sawa bila hata kutakiwa kusafiri…!! Wanandoa wanatakiwa kukwepa haya mambo ili kutowaumiza wenzi wao!
Naamini kuwa, tunatakiwa kuelewa kwamba kuna mabadiliko makubwa yaliyotokea hivi karibuni na hivyo tuchukue hatua mathubuti ili kuimarisha ndoa zetu,
Nawatakia heri ya mwaka mpya wa 2012!!
Babu DC (1947)