Mwaka mmoja wa JPM: Maisha ya Mtanzania yamestawi

viwanda haviwezi kujengwa kwa mwaka mmoja... ni process ya miaka mingi sana. nilikuwaga nakuheshimu sasa utanifanya nianze kukudharau. kama na wewe unafikiria kama nyumbu.
Vingapi vimeanza kujengwa ambavyo ujenzi wake utakamilika katika miaka mitano?

Serikali hii ni kama basi linalotakiwa lisafiri toka Songea mpaka Dar. Safari inatakiwa ianze saa 12 asubuhi ili basi lifike saa 12 jioni, lakini mpaka sasa ni saa 5 asubuhi basi halijaondoka.

Cha ajabu dereva anawaaminisha abiria kuwa basi litafika Dar saa 12 jioni Dar. Abiria wajinga wanashangilia japo hawajui litakwenda kwa mwendo gani wakati basi halijaondoka, na mafuta ndani ya gari hayamo.

Dubai ilikuwa completely transformed within 15 years lakini kila mwaka kulikuwa na remarkable visible changes. Sisi kwetu mabadiliko wanayaona biongozi na makada wa CCM pekee yao kwa sababu sisi wengine wote ni bipofu.

Ni lazima ukose ukamilifu kupindukia kuweza kuamini Tanzania itakuwa ya viwanda ndani ya miaka 5 wakati mwaka mmoja umekwisha, na hatuambiwi ni vingapi vimeanza kujengwa.
 
Uko sawa kabisa,yaani sukari tuliokuwa tunanunua sh 1500 mpaka 1800 kwa kilo,sasa imeshuka mpaka 2400 kwa kilo baada ya serikali kushughulikia tatizo hilo kikamilifu na kukamata sukari iliyokuwa imefichwa,Mungu atupe nini tena?mifumo ya elimu inaboreshwa sana kiasi cha kumsaidia kila mwenye nia ya kujiendeleza kielimu apate nafasi ya kufanya hivyo ili kuongeza idadi ya watu walioelimika.
Hapo labda Mungu atupe gunia la chawa sasa hivi hali ya uchumi imekuwa nzuri kuliko awamu zote kwenye historia ya nchi yetu, sasa hivi uchumi wetu na miundo mbinu imeizidi USA.
 
Uko sawa kabisa,yaani sukari tuliokuwa tunanunua sh 1500 mpaka 1800 kwa kilo,sasa imeshuka mpaka 2400 kwa kilo baada ya serikali kushughulikia tatizo hilo kikamilifu na kukamata sukari iliyokuwa imefichwa,Mungu atupe nini tena?mifumo ya elimu inaboreshwa sana kiasi cha kumsaidia kila mwenye nia ya kujiendeleza kielimu apate nafasi ya kufanya hivyo ili kuongeza idadi ya watu walioelimika.
Unamletea majungu mtukufu wewe ni wa kutumbuliwa na usaha unanywesha
 
Wanandugu,

Kama mnavyofahamu rais wetu John Pombe ametimiza takribani mwaka toka atangazwe na tume ya uchaguzi kuwa rais wa Tanzania.

Tahthmini inaonyesha kuwa kwa kipindi hiki kifupi toka aingie madarakani maisha ya mtanzania yamekuwa mazuri zaidi kuliko awamu zote zilizopita.
  • Huduma za afya zinapatikana katika kiwango cha kuridhisha. Madawa na ruzuku za afya zinafika kwa wakati.
  • Kipata cha mtanzania wa hali ya chini kimeongezeka kutoka chini ya dola moja hadi dola 2.5 kwa siku.
  • Huduma za umeme na maji zimekuwa za uhakika zaidi.
  • Masoko ya bidhaa za kilimo yamezidi kuongezeka. Ukuaji wa masoko yameongeza kipato cha mkulima.
  • Mshahara na marupurupu ya mtumishi wa umma yameboreshwa kuliko kipindi cha awamu ya nne. Waalimu wamewekeza mazingira bora ya kufanyia kazi.
  • Utoaji wa mikopo elimu ya juu umeboreshwa zaidi, kwani watoto wa masikini bila kujali masomo waliyodahiliwa wamezingatiwa na kupewa kipaumbele katika mikopo. Pia idadi ya wanufaika imeongezeka. Rais ametimiza ahadi aliyotoa akiwa Tabora.
  • Elimu bure imetolewa na wazazi tumepunguziwa mzigo.
  • Kupambana na majanga. Serikali imeonyesha uimara katika kupambana na majanga.Mfano huko Kagera michango imewafikia kwa wakati. wahanga na serikali kubaki na jukumu la kujenga miundombinu kwa fedha zake.
  • Punguzo la kodi katika bidhaa muhimu zinazotumika zaidi na watanzania wa hali ya chini.
  • Umoja wa Kitaifa. Rais amefanikiwa kuunganisha watanzania bila kujali vyama vyao au kanda zao. Rais amekemea ukanda na uvyama na kuzika tofauti zilizojitokeza wakati wa uchaguzi.
  • Demokrasia. Vyama vya siasa vimepewa uhuru wa kufanya siasa kwa mujibu wa katiba. Bunge limekuwa wazi na huru zaidi kuliko bunge lililopita.
Hii ni tathmini yangu katika kipindi cha mwaka mmoja wa Magufuli.


The best satirical and sarcastic analysis ever noted,sure we've been where we wanted to be and as for those viewpoint s we got life and the rest under control,hold on
 
JPM oyeee! CCM oyeee!

Sasa hivi ari ya kazi miongoni mwa watumishi wa umma ipo juu hatari..Haijapata kutokea. Hakuna manungúniko yoyote maofisini.

Hapa kazi tu...kazi gani?
 
Wanandugu,

Kama mnavyofahamu rais wetu John Pombe ametimiza takribani mwaka toka atangazwe na tume ya uchaguzi kuwa rais wa Tanzania.

Tahthmini inaonyesha kuwa kwa kipindi hiki kifupi toka aingie madarakani maisha ya mtanzania yamekuwa mazuri zaidi kuliko awamu zote zilizopita.
  • Huduma za afya zinapatikana katika kiwango cha kuridhisha. Madawa na ruzuku za afya zinafika kwa wakati.
  • Kipata cha mtanzania wa hali ya chini kimeongezeka kutoka chini ya dola moja hadi dola 2.5 kwa siku.
  • Huduma za umeme na maji zimekuwa za uhakika zaidi.
  • Masoko ya bidhaa za kilimo yamezidi kuongezeka. Ukuaji wa masoko yameongeza kipato cha mkulima.
  • Mshahara na marupurupu ya mtumishi wa umma yameboreshwa kuliko kipindi cha awamu ya nne. Waalimu wamewekeza mazingira bora ya kufanyia kazi.
  • Utoaji wa mikopo elimu ya juu umeboreshwa zaidi, kwani watoto wa masikini bila kujali masomo waliyodahiliwa wamezingatiwa na kupewa kipaumbele katika mikopo. Pia idadi ya wanufaika imeongezeka. Rais ametimiza ahadi aliyotoa akiwa Tabora.
  • Elimu bure imetolewa na wazazi tumepunguziwa mzigo.
  • Kupambana na majanga. Serikali imeonyesha uimara katika kupambana na majanga.Mfano huko Kagera michango imewafikia kwa wakati. wahanga na serikali kubaki na jukumu la kujenga miundombinu kwa fedha zake.
  • Punguzo la kodi katika bidhaa muhimu zinazotumika zaidi na watanzania wa hali ya chini.
  • Umoja wa Kitaifa. Rais amefanikiwa kuunganisha watanzania bila kujali vyama vyao au kanda zao. Rais amekemea ukanda na uvyama na kuzika tofauti zilizojitokeza wakati wa uchaguzi.
  • Demokrasia. Vyama vya siasa vimepewa uhuru wa kufanya siasa kwa mujibu wa katiba. Bunge limekuwa wazi na huru zaidi kuliko bunge lililopita.
Hii ni tathmini yangu katika kipindi cha mwaka mmoja wa Magufuli.

Labda utuambie kila kitu ni kinyume cha haya uloandika
 
JPM oyeee! CCM oyeee!

Sasa hivi ari ya kazi miongoni mwa watumishi wa umma ipo juu hatari..Haijapata kutokea. Hakuna manungúniko yoyote maofisini.

Hapa kazi tu...kazi gani?
mitiani wanaandika kwa chaki ubaoni kutokana na kukosa pesa ya kuchapisha test kwenye baadhi ya shule. HATARI SANA
 
Back
Top Bottom