Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,084
- 6,569
Kwani serikali ya mwendazake ilikuwa ya chama gani na hii ya mama niyachama gani ,!Leo hii baada mzee baba kuondoka na Mhandisi Mfugale kuondoka kwa utata wa mkubwa ambao ulishangaza dunia nzima. Leo hii Temesa wameanza fyongo. Maana kazi ndogo kama service sio ya kusababisha serikali kukodisha vivuko kwa gharama kubwa.
Hapa kutakuwa na namna.
Watanzania huu ndio wakati wa kutwangwa vitu vizito.
viView attachment 2259792
Angewashirikisha nani kwa mfano?..unasema ni vivuko vya huyo uliyefariki.
..halafu unashangaa havifanyiwi ukarabati baada ya yeye kufariki.
..angekuwa amewashirikisha watu wengi zaidi ktk vision yake, na kuwa-empower kuwawezesha ktk kuitekeleza, haya unayoyalalamikia yasingetokea.
Songoro Marine ni TEMESA ?Leo hii baada mzee baba kuondoka na Mhandisi Mfugale kuondoka kwa utata wa mkubwa ambao ulishangaza dunia nzima. Leo hii Temesa wameanza fyongo. Maana kazi ndogo kama service sio ya kusababisha serikali kukodisha vivuko kwa gharama kubwa.
Hapa kutakuwa na namna.
Watanzania huu ndio wakati wa kutwangwa vitu vizito.
viView attachment 2259792
Duh...Asali anazoendelea kulamba unaona hazimtoshi...?Auziwe Bakhresa
Angewashirikisha nani kwa mfano?
Mkuu we ni platinum member acha kupost uharo. Sasa ishu ya kuservice pantoni inahusika vipi na haya unayopost?..alikuwa " one man show . "
..serikali na chama vilikuwa mali yake.
..nchi na raia wote walikuwa kama miliki yake.
Chadema sio political party ni genge la watafuta ugali.Chadema watakwambia cha maana ni kumwachia Mbowe
Mkuu we ni platinum member acha kupost uharo. Sasa ishu ya kuservice pantoni inahusika vipi na haya unayopost?
Wapi kasema?..mtoa mada amesema hizo pantoni ni za kiongozi aliyeaga dunia.
japo umeandika kijinga ila nakujibu , ni hivi , katika utawala wote wa Magufuli aliyepewa kazi za kukarabati vivuko na Meli za Tanzania ni Songoro Msukuma wa Ilemela , sasa huo uzushi wako wa Temesa umetoka wapi ?Songoro kaingia vipi mama Mbowe?
Mama ndo anasema hivi. So ni mpango wa serikali kuachia sekta binafsi.Leo hii baada mzee baba kuondoka na Mhandisi Mfugale kuondoka kwa utata wa mkubwa ambao ulishangaza dunia nzima. Leo hii Temesa wameanza fyongo. Maana kazi ndogo kama service sio ya kusababisha serikali kukodisha vivuko kwa gharama kubwa.
Hapa kutakuwa na namna.
Watanzania huu ndio wakati wa kutwangwa vitu vizito.
viView attachment 2259792
Mh?Mama ndo anasema hivi. So ni mpango wa serikali kuachia sekta binafsi. View attachment 2259870
KalewaAngewashirikisha nani kwa mfano?