Mwaka huu, sijui!?

Mwaka huu, sijui!?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,023
Reaction score
828,813
1445229957084.jpg
 
kama kila kituo kitakua na limojaafadhali ,,of which hawana
 
Badala ya kuongeza vifaa vitakavyotumika kwenye uchaguzi na kuhakikisha vinafika kituono kwa wakati wanaongeza magari kwa polisi tena yasiyitumika mara kwa mara kwani hayo ni kwa kazi maalumu wakti kuna mikoa haina zahanati za kutosha, magari wa kubebea wagonjwa na magari ya zimamoto ila kwao hayo si ya kipau mbele kama waliyonunua. kweli kazi ipo.
 
Badala ya kuongeza vifaa vitakavyotumika kwenye uchaguzi na kuhakikisha vinafika kituono kwa wakati wanaongeza magari kwa polisi tena yasiyitumika mara kwa mara kwani hayo ni kwa kazi maalumu wakti kuna mikoa haina zahanati za kutosha, magari wa kubebea wagonjwa na magari ya zimamoto ila kwao hayo si ya kipau mbele kama waliyonunua. kweli kazi ipo.

Ukiona mtu mzima na akili zake anaishabikia ccm basi ujue kuna shida mahali
 
daha nikajua ambulance za wajaa wazito kumbe mashine za kutolea uhai raia wema
Ambulance za nini wakati tumesambaza pikipiki za miguu mitatu kusaidia huduma hiyo
 
Ambulance za nini wakati tumesambaza pikipiki za miguu mitatu kusaidia huduma hiyo

Hizo pikipiki umeishawahi kuiona hata moja tu ikiwa imebeba mgonjwa? Yaani zote zimewekwa vituoni na zinaoza kwani kwa muundo wake hauwezi kuiendesha kwani kona ya kushoto ukipiga unakutana na kitanda cha mgonjwa.
 
hizo pikipiki umeishawahi kuiona hata moja tu ikiwa imebeba mgonjwa? Yaani zote zimewekwa vituoni na zinaoza kwani kwa muundo wake hauwezi kuiendesha kwani kona ya kushoto ukipiga unakutana na kitanda cha mgonjwa.
. Kuna mengi ya kuhojiana pamoja na uwezo wetu na hasa wataalam wetu kufikiri na kutumia fedha za walipakodi vizuri
 
CCM wapo wachache kuliko wanavyojifikiria
 
Back
Top Bottom