magode
JF-Expert Member
- Oct 2, 2014
- 2,201
- 3,322
Wanabodi
Salaam;
Binafsi mpaka sasa sijajua sherehe zetu za muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambazo huwa tunaaazimisha tarehe 26.April. kila mwaka,zitafanyika wapi kitaifa.
Naomba mwenye taarifa atujuze hapa ili sisi tunaopenda kuhudhuria tujiandae mapema,maana zimebaki siku chache tu..!!
Sherehe za mwaka huu zitafana na ningependa kuona kila mpenda maendeleo anahudhuria. Tukutane tar.26. kwenye sherehe za muungano!
Salaam;
Binafsi mpaka sasa sijajua sherehe zetu za muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambazo huwa tunaaazimisha tarehe 26.April. kila mwaka,zitafanyika wapi kitaifa.
Naomba mwenye taarifa atujuze hapa ili sisi tunaopenda kuhudhuria tujiandae mapema,maana zimebaki siku chache tu..!!
Sherehe za mwaka huu zitafana na ningependa kuona kila mpenda maendeleo anahudhuria. Tukutane tar.26. kwenye sherehe za muungano!