Mwaka 2026 Trump na harakati zake za MAKE AMERICA GREAT AGAIN na kufubaza ushawishi wa RUSSIA na CHINA

Mwaka 2026 Trump na harakati zake za MAKE AMERICA GREAT AGAIN na kufubaza ushawishi wa RUSSIA na CHINA

Keyboard_Warrior

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2015
Posts
6,086
Reaction score
10,355
Huyu Trump anazidi kuwa pasua kichwa, mwaka jana alipasua Iran nuclear facilities bila hata ya kujali uwepo wa wanasayansi kutoka RUSSIA katika majengo.

Mwaka huu ameenda kumnyakua kama panya road Maduro ambaye ni raisi wa Venezuela, kumbuka Venezuela ni mshirika wa RUSSIA na CHINA.

Kama hiyo haitoshi leo hii jeshi la Marekani kwa amri ya Trump limeiteka meli ya mafuta inayopeperusha bendera ya RUSSIA.

Inasemekana hili la mwisho limefanyika manowari ya kijeshi ya RUSSIA ikiwa mbio mbio kwenda kuilinda meli hiyo.

TRUMP anapima uthubutu wa PUTIN na RUSSIA!?

Nini kifuatacho!?
 
Nilichojufunza mataifa yanayo fanyiwa military intervation kwa shinikizo la kidemokrasia pia kuna kuwa na maslahi mapana kwa mabeberu,


Democracy ya kweli hupiganiwa na wananchi/wazalendo ndani ya Taifa laao
 
Screenshot_2026-01-07-18-26-45-41_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg


Kauli za dharau!!!
 
Putin na Nyambizi zake zimeshuhudia Meli ikichukuliwa
Meli kupeperusha bendera ya taifa fulani haimaanishi kuwa inamilikwa na taifa hilo

Hakuna reliable source inayosema kuwa Russia walituma submarine kuilinda meli hiyo.

Meli yenyewe ilipewa kibali cha kutumia bendera ya Russia Desemba 24 mwaka jana kabla ya hapo ilikuwa inatumia bendera ya Guyana

Vyanzo vinavyotegemeka vinasema ni 'stateless ship'

Ni miongoni mwa meli zilizokuwa zinatumiwa kusafirisha mafuta kutoka Venezuela kimagendo

Be updated janja
 
Ni lini Venezuela alikuwa mshirika wa China na Russia?
Acha ukilaza!
Hili swali hata mtoto wa shule ya msingi anaweza kujibu.
Tuletee source kuwa kuna mkataba wa kulindana kati ya Venezuela na Russia au China ikiwa nchi mojawapo itavamiwa
Kwani Ukraine ana mkataba wa kulindana na USA/NATO?
Mbona USA na NATO kwa ujumla wamesababisha Zelensky anapumua vyema mpaka sasa, na juzi juzi tu hapa ilibaki kidogo amle kichwa Putin.
 
Kwani Ukraine ana mkataba wa kulindana na USA/NATO?
Unafikiri Ukraine ingekuwa member wa NATO wangeishia tu kuipa silaha na mercenaries

Angekuwa member wangeingia mazima kwenye vita deploying boots on the gound for millitary assistance dhidi ya Russia kumlinda mwanachama mwenzao

Kasome Article 5 ya the North Atlantic Treaty
 
Unafikiri Ukraine ingekuwa member wa NATO wangeishia tu kuipa silaha na mercenaries

Angekuwa member wangeingia mazima kwenye vita deploying boots on the gound for millitary assistance dhidi ya Russia kumlinda mwanachama mwenzao

Kasome Article 5 ya the North Atlanti Treaty
Hadi sasa Zelensky anavuta Oxygen ni kwa msaada wa USA na NATO, unakubali unakataa!?
 
Walifanikiwa nini? Atleast basi wangeweza hata kumpiga ya sikio kama Trump
Unadhani Zelensky hicho kiburi cha kujaribu kumshambulia Putin anakitolea wapi?

Yes hawakufanikiwa, lakini zingatia, sometimes it takes more than one attempt!
 
View attachment 3526703

AS DETERMINED BY THE U.S.

Ona kiburi hii!!!!
Uzuri wa taifa kama China wana kampuni zao za kuchimba mafuta hapo Venezuela wala hawahitaji dark fleet vessels

 
Back
Top Bottom