Mwaka 2020, Rais Magufuli atayarudisha 80% ya majimbo ya upinzani CCM. Mgombea urais wa upinzani kuambulia aibu ya kihistoria

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,590
4,603
Mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi mkuu kwa Rais, wabunge na madiwani. Ni mwaka ambao watanzania wataweka historia juu ya nchi na watanzania watashuhudia mambo yafuatayo: 1) upinzani utapoteza ushawishi kwa wapigakura na kupoteza 80% ya nafasi zao za kiuongozi (2) mgombea urais kwa tiketi ya CCM atapata ushindi wa kihistoria wa kishindo (3) wagombea/mgombea urais wa upinzani kupata aibu ya kihistoria ya kushindwa.

Haya ni majumuisho ya jumla na mtazamo wangu
  • Watanzania wanaona umuhimu wa kuwa na rais mzalendo na mwenye kujali masilahi ya umma wa wale anaowaongoza. Na Rais Magufuli ameshakaa akilini na mioyoni mwa watanzania kwa sifa njema ya uzalendo. Watanzania wanahitaji kuwa na kiongozi kama yeye( kama akiamua kupumzika) na hivyo kufanya maamuzi ya kumchagua tena kwa kishindo kikubwa au kumchagua mgombea mwingine wa kutoka CCM. Watanzania wanahitaji kuuenzi uzalendo wa Rais na kuwa pamoja naye kwa kumpigia kura kwa wingi sana. Mzalendo anazawadiwa zawadi ya kura tu.

  • CCM itaungwa mkono na watanzania wengi sana na kupelekea kuwachagua wabunge wengi wa CCM na 80% ya wabunge na madiwani wa sasa wa upinzani kupoteza ushawishi majimboni na kupoteza nafasi zao na nafasi zao kuchukuliwa na CCM. Ushahidi ni kupitia chaguzi ndogo za marudio ambapo CCM iliibuka kidedea kwa kura nyingi sana na kishindo hata kwa majimbo yaliyokuwa chini ya upinzani

  • Watanzania wameuchoka upinzani na hata sasa wanatamani kufanya maamuzi majimboni na kwenye kata ambayo hawakufanya 2015. Wengi wanajutia ,wananung’unika na kusikitika kushindwa kufanya maamuzi 2015 na wanatamani hata muda huu ungetumika kufanya marekebisho wa yale waliyokosea kipindi. Hii ni dalili mbaya kwa upinzani

  • Vijana wengi kuingia kwenye siasa na kupata fursa ndani ya CCM ya kugombea nafasi mbalimbali za kisiasa nchini yamekuwa ni mafanikio makubwa kwa CCM kuwa na mwanzo mzuri wa kuelekea kupata ushindi mnono wa kihistoria. Vijana ni jeshi la ushindi la CCM litakaloichinja upinzani

  • Ajira ni bomu linalosubiri kulipuka’, sasa halitalipuka tena kwa kuwa limeteguliwa na mteguaji makini rais Magufuli. Maelfu kwa maelfu wanaopata ajira katika sekta iliyo rasmi na isiyo rasmi watapata kuichagua CCM kwa wingi kwa mategemeo na matarajio kuwa sera ya Tanzania ya viwanda chini ya CCM ni mkombozi wao wa ajira na kujiajiri katika sekta isiyo rasmi na ile rasmi.
Historia yetu watanzania itaandikwa na watanzania. Tufanye maamuzi sahihi 2020 ambayo 2015 tumeona mfano wake. Hakuna mtanzania anayejuta na kujutia kura yake kwa JPM kama hukutegemea JPM akufanyie kingine Zaidi ya kukuletea maendeleo.

Tanzania ni yetu sote, tuinjenge pamoja kwa ajili yetu na vizazi vyetu kwa kufanya maamuzi yaliyo sahihi ya kuchagua na kuamua wa kutuongoza. Binafsi kwa kuona umuhimu wa Tanzania katika kuiletea Tanzania maendeleo ya kiuchumi na kijamii na kukuza uwekezaji na jaasiriamali, NASIMAMA NA RAIS WANGU NA CCM.
 
Kwa hiyo akiyarudisha kwa wizi unafikiri watanzania ndani ya mioyo yao wataacha kudai haki zao.

Opposition siyo chadema wala Act. Yaani anatumia pesa zetu kwa kununua watu lkn hawezi kuwalazimisha watanzania wote kuipenda CCM.

Na usitegemee kuwa Magufuli atakuwa rais MILELE. Huwezi jua kesho ukaambiwa kiberiti kimezima
 
Nadhani 100% ya majimbo yangechukuliwa na ccm ingekuwa poa zaidi,Huyu mwenyekiti wenu,wakati wa chama kimoja,yaani wakati wa aww CCM kushika hatamu alikuwa huko kijiji akilamba chaki huku akijifariji kuwa UALIMU NI WITO-He knows ugumu wa maisha ndani ya chama kimoja-ila kwa kuwa vision yake ni kuwafanya watu waishi kama mashetani-lets go back labda tutajifunza.
 
Mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi mkuu kwa Rais, wabunge na madiwani. Ni mwaka ambao watanzania wataweka historia juu ya nchi na watanzania watashuhudia mambo yafuatayo: 1) upinzani utapoteza ushawishi kwa wapigakura na kupoteza 80% ya nafasi zao za kiuongozi (2) mgombea urais kwa tiketi ya CCM atapata ushindi wa kihistoria wa kishindo (3) wagombea/mgombea urais wa upinzani kupata aibu ya kihistoria ya kushindwa.

Haya ni majumuisho ya jumla na mtazamo wangu
  • Watanzania wanaona umuhimu wa kuwa na rais mzalendo na mwenye kujali masilahi ya umma wa wale anaowaongoza. Na Rais Magufuli ameshakaa akilini na mioyoni mwa watanzania kwa sifa njema ya uzalendo. Watanzania wanahitaji kuwa na kiongozi kama yeye( kama akiamua kupumzika) na hivyo kufanya maamuzi ya kumchagua tena kwa kishindo kikubwa au kumchagua mgombea mwingine wa kutoka CCM. Watanzania wanahitaji kuuenzi uzalendo wa Rais na kuwa pamoja naye kwa kumpigia kura kwa wingi sana. Mzalendo anazawadiwa zawadi ya kura tu.

  • CCM itaungwa mkono na watanzania wengi sana na kupelekea kuwachagua wabunge wengi wa CCM na 80% ya wabunge na madiwani wa sasa wa upinzani kupoteza ushawishi majimboni na kupoteza nafasi zao na nafasi zao kuchukuliwa na CCM. Ushahidi ni kupitia chaguzi ndogo za marudio ambapo CCM iliibuka kidedea kwa kura nyingi sana na kishindo hata kwa majimbo yaliyokuwa chini ya upinzani

  • Watanzania wameuchoka upinzani na hata sasa wanatamani kufanya maamuzi majimboni na kwenye kata ambayo hawakufanya 2015. Wengi wanajutia ,wananung’unika na kusikitika kushindwa kufanya maamuzi 2015 na wanatamani hata muda huu ungetumika kufanya marekebisho wa yale waliyokosea kipindi. Hii ni dalili mbaya kwa upinzani

  • Vijana wengi kuingia kwenye siasa na kupata fursa ndani ya CCM ya kugombea nafasi mbalimbali za kisiasa nchini yamekuwa ni mafanikio makubwa kwa CCM kuwa na mwanzo mzuri wa kuelekea kupata ushindi mnono wa kihistoria. Vijana ni jeshi la ushindi la CCM litakaloichinja upinzani

  • Ajira ni bomu linalosubiri kulipuka’, sasa halitalipuka tena kwa kuwa limeteguliwa na mteguaji makini rais Magufuli. Maelfu kwa maelfu wanaopata ajira katika sekta iliyo rasmi na isiyo rasmi watapata kuichagua CCM kwa wingi kwa mategemeo na matarajio kuwa sera ya Tanzania ya viwanda chini ya CCM ni mkombozi wao wa ajira na kujiajiri katika sekta isiyo rasmi na ile rasmi.
Historia yetu watanzania itaandikwa na watanzania. Tufanye maamuzi sahihi 2020 ambayo 2015 tumeona mfano wake. Hakuna mtanzania anayejuta na kujutia kura yake kwa JPM kama hukutegemea JPM akufanyie kingine Zaidi ya kukuletea maendeleo.

Tanzania ni yetu sote, tuinjenge pamoja kwa ajili yetu na vizazi vyetu kwa kufanya maamuzi yaliyo sahihi ya kuchagua na kuamua wa kutuongoza. Binafsi kwa kuona umuhimu wa Tanzania katika kuiletea Tanzania maendeleo ya kiuchumi na kijamii na kukuza uwekezaji na jaasiriamali, NASIMAMA NA RAIS WANGU NA CCM.
Ripoti ya CAG umeisoma lakini au wewe kazi yako ni kulamba miguu tuu ?
 
Hatutashangaa kwa mwenendo wa kuteua makada kuwa wasimamizi wa uchaguzi. Kipimo cha kukubalika waweke tume huru ndio tutajua kama wananchi wana MAHABA na Raisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe umeona ni 80%, mimi naona kama ni 99%, kama ni kurejea, nahisi atarejea mmoja tuu, yule "the one and only"
P
 
Kamongo mwingine wa Lumunba. Kubwa la majizi halistahili kuwepo Ikulu hata kwa sekunde moja.



Mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi mkuu kwa Rais, wabunge na madiwani. Ni mwaka ambao watanzania wataweka historia juu ya nchi na watanzania watashuhudia mambo yafuatayo: 1) upinzani utapoteza ushawishi kwa wapigakura na kupoteza 80% ya nafasi zao za kiuongozi (2) mgombea urais kwa tiketi ya CCM atapata ushindi wa kihistoria wa kishindo (3) wagombea/mgombea urais wa upinzani kupata aibu ya kihistoria ya kushindwa.

Haya ni majumuisho ya jumla na mtazamo wangu
  • Watanzania wanaona umuhimu wa kuwa na rais mzalendo na mwenye kujali masilahi ya umma wa wale anaowaongoza. Na Rais Magufuli ameshakaa akilini na mioyoni mwa watanzania kwa sifa njema ya uzalendo. Watanzania wanahitaji kuwa na kiongozi kama yeye( kama akiamua kupumzika) na hivyo kufanya maamuzi ya kumchagua tena kwa kishindo kikubwa au kumchagua mgombea mwingine wa kutoka CCM. Watanzania wanahitaji kuuenzi uzalendo wa Rais na kuwa pamoja naye kwa kumpigia kura kwa wingi sana. Mzalendo anazawadiwa zawadi ya kura tu.

  • CCM itaungwa mkono na watanzania wengi sana na kupelekea kuwachagua wabunge wengi wa CCM na 80% ya wabunge na madiwani wa sasa wa upinzani kupoteza ushawishi majimboni na kupoteza nafasi zao na nafasi zao kuchukuliwa na CCM. Ushahidi ni kupitia chaguzi ndogo za marudio ambapo CCM iliibuka kidedea kwa kura nyingi sana na kishindo hata kwa majimbo yaliyokuwa chini ya upinzani

  • Watanzania wameuchoka upinzani na hata sasa wanatamani kufanya maamuzi majimboni na kwenye kata ambayo hawakufanya 2015. Wengi wanajutia ,wananung’unika na kusikitika kushindwa kufanya maamuzi 2015 na wanatamani hata muda huu ungetumika kufanya marekebisho wa yale waliyokosea kipindi. Hii ni dalili mbaya kwa upinzani

  • Vijana wengi kuingia kwenye siasa na kupata fursa ndani ya CCM ya kugombea nafasi mbalimbali za kisiasa nchini yamekuwa ni mafanikio makubwa kwa CCM kuwa na mwanzo mzuri wa kuelekea kupata ushindi mnono wa kihistoria. Vijana ni jeshi la ushindi la CCM litakaloichinja upinzani

  • Ajira ni bomu linalosubiri kulipuka’, sasa halitalipuka tena kwa kuwa limeteguliwa na mteguaji makini rais Magufuli. Maelfu kwa maelfu wanaopata ajira katika sekta iliyo rasmi na isiyo rasmi watapata kuichagua CCM kwa wingi kwa mategemeo na matarajio kuwa sera ya Tanzania ya viwanda chini ya CCM ni mkombozi wao wa ajira na kujiajiri katika sekta isiyo rasmi na ile rasmi.
Historia yetu watanzania itaandikwa na watanzania. Tufanye maamuzi sahihi 2020 ambayo 2015 tumeona mfano wake. Hakuna mtanzania anayejuta na kujutia kura yake kwa JPM kama hukutegemea JPM akufanyie kingine Zaidi ya kukuletea maendeleo.

Tanzania ni yetu sote, tuinjenge pamoja kwa ajili yetu na vizazi vyetu kwa kufanya maamuzi yaliyo sahihi ya kuchagua na kuamua wa kutuongoza. Binafsi kwa kuona umuhimu wa Tanzania katika kuiletea Tanzania maendeleo ya kiuchumi na kijamii na kukuza uwekezaji na jaasiriamali, NASIMAMA NA RAIS WANGU NA CCM.
 
Hata Saadam Hussein alikuwa anapata asilimia 99% ya kura zote zilizokuwa zinapigwa wakati wa uchaguzi nchini Iraq. Nchi isipokuwa na demokrasia ya kweli na chaguzi zake siyo huru na haki huwezi kutegemea wapinzani kuambulia chochote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna uchaguzi au uteuzi??? Vyama vitakavyojitokeza labda ni TLP, CUF, Chauma na ndugu wa CCM. Kama Ukawa watajitokeza nitashangaa. Wacha mfalme atawale kama yule wa CHina. Afadhari mfalme wa Russia huwa anajibadilisha mara waziri mkuu mara Rais. Tupo Venezuela kwa sasa. ila sisi hatuna meno. Watu wanaogopa washa washa na mabom. Wenzetu hawajali. Vijana mtajiju nyinyi ndio mnateseka hamna kazi, hampandishwi mishahara nk.
 
Mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi mkuu kwa Rais, wabunge na madiwani. Ni mwaka ambao watanzania wataweka historia juu ya nchi na watanzania watashuhudia mambo yafuatayo: 1) upinzani utapoteza ushawishi kwa wapigakura na kupoteza 80% ya nafasi zao za kiuongozi (2) mgombea urais kwa tiketi ya CCM atapata ushindi wa kihistoria wa kishindo (3) wagombea/mgombea urais wa upinzani kupata aibu ya kihistoria ya kushindwa.

Haya ni majumuisho ya jumla na mtazamo wangu
  • Watanzania wanaona umuhimu wa kuwa na rais mzalendo na mwenye kujali masilahi ya umma wa wale anaowaongoza. Na Rais Magufuli ameshakaa akilini na mioyoni mwa watanzania kwa sifa njema ya uzalendo. Watanzania wanahitaji kuwa na kiongozi kama yeye( kama akiamua kupumzika) na hivyo kufanya maamuzi ya kumchagua tena kwa kishindo kikubwa au kumchagua mgombea mwingine wa kutoka CCM. Watanzania wanahitaji kuuenzi uzalendo wa Rais na kuwa pamoja naye kwa kumpigia kura kwa wingi sana. Mzalendo anazawadiwa zawadi ya kura tu.

  • CCM itaungwa mkono na watanzania wengi sana na kupelekea kuwachagua wabunge wengi wa CCM na 80% ya wabunge na madiwani wa sasa wa upinzani kupoteza ushawishi majimboni na kupoteza nafasi zao na nafasi zao kuchukuliwa na CCM. Ushahidi ni kupitia chaguzi ndogo za marudio ambapo CCM iliibuka kidedea kwa kura nyingi sana na kishindo hata kwa majimbo yaliyokuwa chini ya upinzani

  • Watanzania wameuchoka upinzani na hata sasa wanatamani kufanya maamuzi majimboni na kwenye kata ambayo hawakufanya 2015. Wengi wanajutia ,wananung’unika na kusikitika kushindwa kufanya maamuzi 2015 na wanatamani hata muda huu ungetumika kufanya marekebisho wa yale waliyokosea kipindi. Hii ni dalili mbaya kwa upinzani

  • Vijana wengi kuingia kwenye siasa na kupata fursa ndani ya CCM ya kugombea nafasi mbalimbali za kisiasa nchini yamekuwa ni mafanikio makubwa kwa CCM kuwa na mwanzo mzuri wa kuelekea kupata ushindi mnono wa kihistoria. Vijana ni jeshi la ushindi la CCM litakaloichinja upinzani

  • Ajira ni bomu linalosubiri kulipuka’, sasa halitalipuka tena kwa kuwa limeteguliwa na mteguaji makini rais Magufuli. Maelfu kwa maelfu wanaopata ajira katika sekta iliyo rasmi na isiyo rasmi watapata kuichagua CCM kwa wingi kwa mategemeo na matarajio kuwa sera ya Tanzania ya viwanda chini ya CCM ni mkombozi wao wa ajira na kujiajiri katika sekta isiyo rasmi na ile rasmi.
Historia yetu watanzania itaandikwa na watanzania. Tufanye maamuzi sahihi 2020 ambayo 2015 tumeona mfano wake. Hakuna mtanzania anayejuta na kujutia kura yake kwa JPM kama hukutegemea JPM akufanyie kingine Zaidi ya kukuletea maendeleo.

Tanzania ni yetu sote, tuinjenge pamoja kwa ajili yetu na vizazi vyetu kwa kufanya maamuzi yaliyo sahihi ya kuchagua na kuamua wa kutuongoza. Binafsi kwa kuona umuhimu wa Tanzania katika kuiletea Tanzania maendeleo ya kiuchumi na kijamii na kukuza uwekezaji na jaasiriamali, NASIMAMA NA RAIS WANGU NA CCM.
Hizi ndiyo propaganda za kijinga kujifanya unawazungumzia wananchi.

Wananchi tunamatatizo mengi, lakini viongozi mmeweka nta masikioni ila uchaguzi unapokaribia mnaanza kuleta utabiri wa kipuuzi si ukawe mganga kama huna kazi.

Enzi za kutuzungumzia sisi wananchi zimepita na binafsi sipendi ukuwadi huo.

Acha watoke wanadi sera zao tuwahoji juu ya hasara wazotufanyia na maisha magumu wanayotupatia wakishindwa kukidha mahitaji yetu tunawanyima kura.

Uamuzi huu ni wetu sio wa waganga wa kienyeji wanaopiga ramli chonganishi kama wewe.
Na mkome kutusemea wananchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom