Mwaka 2020: Hayati Magufuli alichukua fomu ya kuwania Urais ya CCM; kusaka wadhamini na kuidhinishwa

Mwaka 2020: Hayati Magufuli alichukua fomu ya kuwania Urais ya CCM; kusaka wadhamini na kuidhinishwa

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,346
Reaction score
26,138
Iko kwenye kumbukumbu, Hayati Magufuli alichukua fomu ya ndani ya CCM na kusaka wadhamini kabla ya kuidhinishwa na chama chake. Alipata wadhamini 1,023,911 katika mikoa aliyotafuta na kupata wadhamini hao.

Kwakuwa alikuwa mwanachama pekee aliyechukua fomu ndani ya CCM kwa nafasi ya Urais, aliidhinishwa na chama chake kupitia vikao rasmi vya CCM yake.

Zaidi: Milioni Moja Na Zaidi Wamdhamini Magufuli Kurudi Ikulu 2020
 
Iko kwenye kumbukumbu, Hayati Magufuli alichukua fomu ya ndani ya CCM na kusaka wadhamini kabla ya kuidhinishwa na chama chake. Alipata wadhamini 1,023,911 katika mikoa aliyotafuta na kupata wadhamini hao.

Kwakuwa alikuwa mwanachama pekee aliyechukua fomu ndani ya CCM kwa nafasi ya Urais, aliidhinishwa na chama chake kupitia vikao rasmi vya CCM yake.

Zaidi: Milioni Moja Na Zaidi Wamdhamini Magufuli Kurudi Ikulu 2020
Mbona Samia alichukua pia ,kwani hukuwa unasikia akichangiwa hela za Kampeni na makundi mbalimbali?
 
Unajenga Shule kubwa huku hauna Wanafunzi Wala walimu that's wa mistake , she did .

Then anataka kukaa ikulu over 15 yrs kitu amabacho hakiwezekani.

Gharama ya kununua Baiskeli
Gharama ya kununua pikipiki
Gharama ya kununua Magoli ya simba na yanga

Hizi pesa alikuwa anazitoa wapi kwakuwa Mshahara wa Rais unajulikana .
 
Hilo nalo linahitaji ushahidi? Hii habari ina listi ndeefu sana wewe soma Pre GE2025 - Michango ya Samia kuchukua fomu; Mpaka sasa fomu aliyochangiwa Samia Suluhu kugombea tena Urais imefika shilingi ngapi? | JamiiForums Pre GE2025 - Michango ya Samia kuchukua fomu; Mpaka sasa fomu aliyochangiwa Samia Suluhu kugombea tena Urais imefika shilingi ngapi?
Mkuu, hiyo ni michango ya kuchukua fomu ya INEC na si fomu ya mchakato wa ndani ya CCM. Hebu soma hizo habari
 
Mkuu, hiyo ni michango ya kuchukua fomu ya INEC na si fomu ya mchakato wa ndani ya CCM. Hebu soma hizo habari
Amejitoa fahamu tu kutete ugali wake, hawa ndiyo wanufaika wa mfumo. Hata mwanangu Jessie wa darasa la tatu anafahamu kuwa Rais ni lazima apate wadhamini kila mkoa.
 
Mathayo 11:12, Tangu siku za Yohana Mbatizaji hata sasa ufalme wa mbinguni hupatikana kwa nguvu, nao wenye nguvu wauteka.
 
Back
Top Bottom