X men
Member
- Dec 26, 2021
- 11
- 23
Moja ya matatizo makubwa ya hizi taasisi kubwa nchini ni kuwa wazito kwenye kujibu na kutatua changamoto za watu/wateja wao kupitia mitandao ya kijamii.
Wengi huwa wanapost kitu kwenye social media page zao lakini hawa reply chochote kutokana na comments za followers, sio huko tu hata ukienda kwenye inbox zao hawajibu kitu licha ya baashi ya makampuni/kuajiri watu kwa ajili hiyo, mwaka 2019 nilipata changamoto ya smartcard ya decoder ya Azam kwakua nilikosa namba zao za simu nikaenda Inbox mwa page yao kuwaelezea...hawakuwahi kujibu, wamejibu leo kwamba niwatumie namba za king'amuzi!!
Aiseee 2019 to 2024?
Wengi huwa wanapost kitu kwenye social media page zao lakini hawa reply chochote kutokana na comments za followers, sio huko tu hata ukienda kwenye inbox zao hawajibu kitu licha ya baashi ya makampuni/kuajiri watu kwa ajili hiyo, mwaka 2019 nilipata changamoto ya smartcard ya decoder ya Azam kwakua nilikosa namba zao za simu nikaenda Inbox mwa page yao kuwaelezea...hawakuwahi kujibu, wamejibu leo kwamba niwatumie namba za king'amuzi!!
Aiseee 2019 to 2024?