Mwajiriwa wa serikali

Mwajiriwa wa serikali

Joined
Feb 16, 2014
Posts
67
Reaction score
31
jamani naombeni mnisaidie kufahamu hii statement..mtu akisema ni mwajiriwa wa serikali anamaanisha nin exactly?
 
Maana yake ni kwamba ni mtumishi wa umma ambaye anaweza akawa anafanya kazi kwenye serikali kuu,serikali za mitaa,mashirika ama taasisi za serikali!!!!
 
kwani ukiambiwa ni mwajiriwa wa ITV au coca cola inamaanisha nini?
 
Mimi ni mwajiriwa wa serikali mwalimu,na pia cheo changu ni mwalimu wa darasa,halimashauri ya wilaya ya Manyunyu,Mkoa wa Mchafukoge
 
Jamani eeehe, hivi mie ninayeendesha daladala au kuuza sokoni/dukani/baba lishe sio mtumishi wa serikali kwa maana ya public servant?
Maana yake ni kwamba ni mtumishi wa umma ambaye anaweza akawa anafanya kazi kwenye serikali kuu,serikali za mitaa,mashirika ama taasisi za serikali!!!!

Public servant

Maswali mengine bana.

Hata madereva wanaajiriwa mkuu
usidhan wakurugenzi tuu

kwani ukiambiwa ni mwajiriwa wa ITV au coca cola inamaanisha nini?

sasa kwanin wengi wao huwa hawaspecify?
 
Jamani eeehe, hivi mie ninayeendesha daladala au kuuza sokoni/dukani/baba lishe sio mtumishi wa serikali kwa maana ya public servant?
Maana yake ni kwamba ni mtumishi wa umma ambaye anaweza akawa anafanya kazi kwenye serikali kuu,serikali za mitaa,mashirika ama taasisi za serikali!!!!

Public servant

Maswali mengine bana.

Hata madereva wanaajiriwa mkuu
usidhan wakurugenzi tuu

kwani ukiambiwa ni mwajiriwa wa ITV au coca cola inamaanisha nini?

sasa kwanin wengi wao huwa hawaspecify?
 
Jamani eeehe, hivi mie ninayeendesha daladala au kuuza sokoni/dukani/baba lishe sio mtumishi wa serikali kwa maana ya public servant?

kama daladala ni ya serikali,,,basi ww ni mtumish wa umma,na wizara ya utumish inakutambua
 
Back
Top Bottom