Mwajiriwa wa serikali

Mwajiriwa wa serikali

mkuu hebu tulia kwanza na twende taratibu, kwa daladala yangu (bila kujali ni ya serikali ama yangu binafsi), je nitakuwa nahudumia serikali ama umma kwa kubeba abiria?
kama daladala ni ya serikali,,,basi ww ni mtumish wa umma,na wizara ya utumish inakutambua
 
Nadhani hilo jibu hapo linajitosheleza,kuna mashirika ya uma yaliyo chini ya serikali na kuna yanayo jiendesha yenyewe bila ya kutegemea ruzuku kutoka serikalini na kunamengine ambayo yanapokea ruzuku kutoka serikalini kuna serikali za mitaa kuna taasisi zilizoko chini ya serikali na kuna serikali kuu kama vile kwenye mawizara hivyo basi watendaji hao wote wako chini ya serikali kwamaana hiyo ni watumishi wa uma mishahara inatoka hazina ila kuna mashirika mengine yanajitegemea kwenye mishahara lakini bado yako chini ya serikali.Nadhani utakuwa umenisoma kidogo.
 
Ukiambiwa hivyo ndivyo ilivyo haijabadili chochote ila tambua yakuwa hiyo ni kampuni ya mtu binafsi hivyo wewe ni mtumishi wa kampuni husika ndiyo iliyokuajili sio serikali.
 
Kwa sababu hawajiamini kwenye nafasi zao za kazi. Wengi wamepata kwa njia za panya ndiosababu hawasemi exactly what they are doing because they do NOTHING at all!

Nimekukubali mkuu, ukimuweka mtu mahali bila ya jitihada yake usitegemee kupata matokeo tarajiwa kwa huyo mtu.
 
Mtumishi wa umma ni yule ambaye mwajiri wake ni Rais wa nchi
 
Back
Top Bottom