Kuwa na Amani, Kisheria hawezi kukudhulumu, Kama uli devote muda wako na kazi ulifanya hawezi kukuibua hela yako. Nenda Mahakama ya Wilaya ndipo Jurisdiction ya hela yako inapoangukia halafu omba kufungua Shauri la madai, katika Shauri hilo wewe ndo utakuwa Mdai na hiyo Kampuni au Ofisi unayoifanyia ndio watakuwa Wadaiwa na siyo Boss wako, Mwisho wa Shauri Mahakama itatoa hukumu baada ya kusikiliza pande zote mbili na kuridhika na haki yako utaipata. Naomba tu Mungu uwe una Mkataba wa kazi kati yako na Mwajiri wako(Office). Kila la kheri. Lakini kabla hujafanya hivyo jaribu kumuuliza Boss wako physically na ukumbuke hicho kitendo cha kwenda Mahakamani kinaweza kika cost your possition kwenye hiyo office so kuwa na uhakika before ya kuanza chochote.