Jamani naomba msaada wa kisheria, mwajiri anapokutuhumu kwa kosa flani kwa kukuandikia barua na wewe ukamjibu halafu anakaa mwaka mzima bila kukujibu badala yake anaunda tume kukuchunguza baada ya mwaka na zaidi kupita,,je inatakiwa nifanye nini maake hadii hii leo sijapata taarifaa yoyote na tume ilimaliza kazi yake miezi miwili iliyo pita